kyanaKyoMuhaya
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,952
- 938
Jamaa hachomoki, nikiwa Home.
nimemiss samaki wa ukwee wa sato mwanza,and i wish i was a good cook jamani...am hopeless nikiolewa sijui itakuwaje mume wangu atakula mavyakula ya tui kibao lol
Mwaaaaah! Sogea basi!