Nimejaliwa, kwa kupima tu, sina mshindani

Nimejaliwa, kwa kupima tu, sina mshindani

kyanaKyoMuhaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
1,952
Reaction score
938
Jamaa hachomoki, nikiwa Home.


 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    114.5 KB · Views: 1,537
nimemiss samaki wa ukwee wa sato mwanza,and i wish i was a good cook jamani...am hopeless nikiolewa sijui itakuwaje mume wangu atakula mavyakula ya tui kibao lol
 
nimemiss samaki wa ukwee wa sato mwanza,and i wish i was a good cook jamani...am hopeless nikiolewa sijui itakuwaje mume wangu atakula mavyakula ya tui kibao lol

Mie hajui kesho jipya ni lipi, appetite kwa kwenda mbele.​
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    152.2 KB · Views: 174
  • image.jpg
    image.jpg
    9.4 KB · Views: 939
Hizi habari gani za kuleteana njaa,mtuonee huruma wengine mlo mmoja per day!
 
Mbado sijaona, mimi ni ugali na maziwa mgando ndo nasema umejaliwa..!
 
aisee nami nitapata vyakula kama hivo sie wengine kwa mama ntilie na megengeni hatuwekewi kama hivo
Naona jamaa kafaidi mwambie asicheze mbali sisi mafisi tunaangalia mkono
 
Mwanamke kama huyu ukimpata Mshahara wote unaishia kwenye kula kama huna nyumba mziki muda wa Kodi Ufike...

Huo wa Kwanza ndio Mseto?
attachment.php
kuna mdosi alikuwa anakuja nao kwa Office kama Uharo vile nimeuona hapo nimehisi vibaya na hiyo rangi yake oi!
 
Back
Top Bottom