Nimejaribu kumwacha mtoto wangu aokote kitu ili ale nijaribu kumzuia, kila akiokota anakuwa fasta zaidi yangu

Nimejaribu kumwacha mtoto wangu aokote kitu ili ale nijaribu kumzuia, kila akiokota anakuwa fasta zaidi yangu

abdulhamis

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
1,436
Reaction score
2,296
Habar wadau Ile RAHA ya kuwa na mtoto ninayo kwa asilimia Mia mimi kama Baba sababu ya kuwa Rafiki na Mwanangu imepelekea nimebuni michezo Mingi ya kucheza nae mpaka mwezi Jana nilipo gundua kuwa watoto Mikono yao ina spidi si ya kawaida pindi inapo elekea Mdomoni.

Kama wote tunavyo jua kua watoto hupenda kuokota vitu chini na kuvila au kuviweka Mdomon pia wangu anatabia hiyo pia Lakini nashtushwa na uwezo wake wa kua haraka sababu nimesha jaribu Mara nyingi kumuacha aokote kitu ili mimi nimtarget kwa haraka kabla hajakiweka Mdomon ila kila nikijaribu wap hata nikiwa nae umbali wa face to face bado Hua nafel na Mara nyingi Hua nakuta kitu tayar kipo Mdomoni.

Uzazi raha jamani pia polen wote ambao bado hamjajaliwa muombeni sana Mungu
 
Sisi tulioko kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa na hatuna watoto tunachangia vp mada!!??! [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17] Any way mkuu hongera kwa kuwa na mtoto,,, endeleeni kutuombea na sisi tusiopata watoto[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
We ni ke au me? Umechukua hatua gani kupambana na tatizo?
 
Nakupa ndondo mkuu njoo ujaribu na wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hauna flexibility. Ushauri wangu ni kwamba kwakua hauna flexibility basi kimbilia kumziba mdomo na siyo kuudaka mkono.
 
Sisi tulioko kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa na hatuna watoto tunachangia vp mada!!??! [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17] Any way mkuu hongera kwa kuwa na mtoto,,, endeleeni kutuombea na sisi tusiopata watoto[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Mungu akupe hitaji lako, mwakani majira kama haya utaleta ushuhuda kuwa umejaaliwa mtoto
 
Back
Top Bottom