Mkuu ujenz unaongezeka garama kutokana na quality za material unayotaka kujengea ivi unajua square meter moja ya kigae cha romantile ni almost 18500 usibishe mkuu akikuambia ametumia 50m ni kutokana na aina ya materials alizotumia ww ukiezeka na simba dumu na mwenzio akiezekea roman tiles hamtakuwa na garama sawa za kupaua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fundi wa Gypsum kakutoza ngapi kama waweza nisaidia namba za fundi PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama somo linavyojielewa hapo juu
Wakuu, wale wataalamu wa ujenzi. Kwa pesa hiyo naona kama sijafikia lengo kwa sababu sijaweka madirisha (drill) kati dirisha 08 mbili tayari mlango (drill) tayari. Lakini kitu kinachoniuma sijapiga hesabu vizuri.
Nilitegemea kibanda japo niwe nimehamia.
Floor bado, blandaring, je sijapoteza?
Asante sana
Ndugu usitishwe na maneno kama Haya. Hatua uliyopiga ni kubwa. Angalia huyu ndugu milion 50 na bado ajamaliza finishing vyumba vitatu? Kupau 15 unapau nini? Ndio fundi wako anakupiga namna hii?? Kama kweli unajenga na sio porojo na umetumia kiasi hicho basi huyo fundi wako kamtimue haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimeweka bati la kawaida kabisa sitaki mambo mengi.Mungu akijaalia nitabadili ila for now napambana na hali yangu.matofali nimefyatua mwenyewe mfuko mmoja unatoka Matofali block 35.kench za kawaida nimenunua buguruni.nilitaka nihamie kwangu mengine taratibu namalizia nikiwa ndani kama gypsum niliweka sebulen tu na chumbani kwangu tena baada ya kuwa nimeshahamia ndani. Sioni kwa nini watu wanabisha na kupandisha bei wakati kila mtu ana namna ya kuishi maisha yakeMkuu umejenga msingi na mabati yani kupaua kwa milioni 3? Nyumba ina matofali mangapi? Bati uliweka geji gani na ulinunua wapi? Kenchi umeweka za kiasi gani na ulinunua wapi? na pia hayo matofali cement ulinunua mifuko mingapi na kila mfuko ulikua unatoa tofali ngapi..?
Kweli kabisa.nimejenga sebule na open kitchen.kisha vyumba vitatu vya kulala.Mkuu kuna zile nyumba za kizamani...zile vyumba na korido!sijui km unanielewa!.so inawezekana km iko hvyo..nyumba za zaman zina ufupi fulan...nyumba za kisasa zimepanda kama kozi kadhaa!sipend nyumba zenye kordo upande rums then kwisha habareee[emoji6]!
Watu kama hawa huwa tunawapuuza mkuu, vijana wana maneno ya shombo kumbe wanalala sebuleni kama baiskel, hata chumba moja hawajawahi kujenga msingi wake...nimekuelwa sana hongera kwa mawazo mazuriNinyi vijana wa mjini kujifanya kujua kwingi ndio maana kila siku mnamaliza mtaa kwenye nyumba za kupanga,miezi sita tabata,inayofuata sinza,kimara hamjengi.
Wakati mwingine mkija mikoani mnaona aibu kwakuwakuta vijana wa umri chini yenu wapo kwenye nyumba zao na maisha yanasonga.
Hii ni kwasababu ya kujifanya wajuaji wakati kiuhalisia haimna isue kazi kuzurula na vibegi mjini hamna dira yoyote.
Ujenzi kama utausimamia mwenyewe na ukajua namna sahihi yakukwepa gharama utatumia pesa yakawaida.
Sio mbaya ninyi endeleeni kugombania na kujisifia kupanga nyumba za wenzenu zenye tiles nzuri,aluminium,uzio na ma geti mpaka mstuke mvi kichwani.
Kweli kabisa.nimejenga sebule na open kitchen.kisha vyumba vitatu vya kulala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamwene segitoKweli kabisa.nimejenga sebule na open kitchen.kisha vyumba vitatu vya kulala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safii! Nimependa ushuhuda wako kuna jamaa comment za Juu huko anadai kapaua kwa million 15Mimi nimeweka bati la kawaida kabisa sitaki mambo mengi.Mungu akijaalia nitabadili ila for now napambana na hali yangu.matofali nimefyatua mwenyewe mfuko mmoja unatoka Matofali block 35.kench za kawaida nimenunua buguruni.nilitaka nihamie kwangu mengine taratibu namalizia nikiwa ndani kama gypsum niliweka sebulen tu na chumbani kwangu tena baada ya kuwa nimeshahamia ndani. Sioni kwa nini watu wanabisha na kupandisha bei wakati kila mtu ana namna ya kuishi maisha yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Safii! Nimependa ushuhuda wako kuna jamaa comment za Juu huko anadai kapaua kwa million 15
Ila uzuri wa jf bana watu kujimwambafy, unaweza kuta kamanda amepanga chumba cha giza
Ni kweli hata kupaua gharama,Mkuu...kila nyumb ina ukubwa wake zile mbao za kupaulia acha kbs fundi akikupigia hizo hesabu zake!...
Ni kweli hata kupaua gharama,
mwezi uliopita nilikua nipo kwenye hiyo shughuli ila sasa kwa huyo jamaa mimi nina wasiwasi
Sawa!Usihukumu mkuu!
Kwako baba, kwako. Hakuna cha ngo ngo za baba/mama mwenye nyumba, umejiokoa, umejilipuwa, hongera mno...Kama somo linavyojielewa hapo juu
Wakuu, wale wataalamu wa ujenzi. Kwa pesa hiyo naona kama sijafikia lengo kwa sababu sijaweka madirisha (drill) kati dirisha 08 mbili tayari mlango (drill) tayari. Lakini kitu kinachoniuma sijapiga hesabu vizuri.
Nilitegemea kibanda japo niwe nimehamia.
Floor bado, blandaring, je sijapoteza?
Asante sana
Dah! Hujapoteza. Nimeshazamisha the same amount lakini nyumba ndio kwanza iko kwenye msingi na sioni dalili za kuumaliza.
Kwa mtu makini anayejua kucheza na pesa kwenye ujenzi kama nyumba ya ukubwa huo imeshakula 50millions na hujafikia hata kupiga plaster basi amini usiamini fundi wako au unayemwamini kukusimamia ujenzi atahamia kwenye nyumba yake akuache ukiwa bado kwenye nyumba ya kupanga.
Materials unaagiza kwa container kutoka ulaya au?sipo hapa kubishana nimekupa tahadhari tu.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ushaanza au bado unaogopa?Ninyi watu wa JF mbona mnaninyong’esha mimi mnyonge? 😂 Baadhi ya comments zinatisha na kunifanya nizidi kwenda kuitembelea plot kila weekend utadhani inaumwa!
Mkuu msingi unaweza kula gharama kiasi gani?Mwee!
Niko napambana na msingi wa ghorofa. Pesa inakatika kama maji! View attachment 1305556