Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

Mbona ndogo hiyo kama eneo la kuezeka ni 100 sqm bado itakuwa ni 1.85mil
Mkuu ujenz unaongezeka garama kutokana na quality za material unayotaka kujengea ivi unajua square meter moja ya kigae cha romantile ni almost 18500 usibishe mkuu akikuambia ametumia 50m ni kutokana na aina ya materials alizotumia ww ukiezeka na simba dumu na mwenzio akiezekea roman tiles hamtakuwa na garama sawa za kupaua.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu naona mipango imejaribu kuyumba ika jambo ka kuweza kufanya ni kujipanga upya na kumalizia sehem ikiyobaki.


Jambi ka kuweza kulitazamia ni umakini katika usimamizi wa ujenzi mana hawa mafundi wa kileo kitendo cha kuyumba kidogo kusimamia ni umewapa nafasi ya kukupiga


Kila la kheri
Kama somo linavyojielewa hapo juu

Wakuu, wale wataalamu wa ujenzi. Kwa pesa hiyo naona kama sijafikia lengo kwa sababu sijaweka madirisha (drill) kati dirisha 08 mbili tayari mlango (drill) tayari. Lakini kitu kinachoniuma sijapiga hesabu vizuri.

Nilitegemea kibanda japo niwe nimehamia.

Floor bado, blandaring, je sijapoteza?

Asante sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi mwenyewe nimechoka mbwembwe nyiingi kupauwa kazidi sana aandae milioni nne na nusu mpaka tano inategemea paa lake limekaa vipi kulingana na mchoro kutoana uzazi tu
Ndugu usitishwe na maneno kama Haya. Hatua uliyopiga ni kubwa. Angalia huyu ndugu milion 50 na bado ajamaliza finishing vyumba vitatu? Kupau 15 unapau nini? Ndio fundi wako anakupiga namna hii?? Kama kweli unajenga na sio porojo na umetumia kiasi hicho basi huyo fundi wako kamtimue haraka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umejenga msingi na mabati yani kupaua kwa milioni 3? Nyumba ina matofali mangapi? Bati uliweka geji gani na ulinunua wapi? Kenchi umeweka za kiasi gani na ulinunua wapi? na pia hayo matofali cement ulinunua mifuko mingapi na kila mfuko ulikua unatoa tofali ngapi..?
Mimi nimeweka bati la kawaida kabisa sitaki mambo mengi.Mungu akijaalia nitabadili ila for now napambana na hali yangu.matofali nimefyatua mwenyewe mfuko mmoja unatoka Matofali block 35.kench za kawaida nimenunua buguruni.nilitaka nihamie kwangu mengine taratibu namalizia nikiwa ndani kama gypsum niliweka sebulen tu na chumbani kwangu tena baada ya kuwa nimeshahamia ndani. Sioni kwa nini watu wanabisha na kupandisha bei wakati kila mtu ana namna ya kuishi maisha yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna zile nyumba za kizamani...zile vyumba na korido!sijui km unanielewa!.so inawezekana km iko hvyo..nyumba za zaman zina ufupi fulan...nyumba za kisasa zimepanda kama kozi kadhaa!sipend nyumba zenye kordo upande rums then kwisha habareee[emoji6]!
Kweli kabisa.nimejenga sebule na open kitchen.kisha vyumba vitatu vya kulala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninyi vijana wa mjini kujifanya kujua kwingi ndio maana kila siku mnamaliza mtaa kwenye nyumba za kupanga,miezi sita tabata,inayofuata sinza,kimara hamjengi.
Wakati mwingine mkija mikoani mnaona aibu kwakuwakuta vijana wa umri chini yenu wapo kwenye nyumba zao na maisha yanasonga.
Hii ni kwasababu ya kujifanya wajuaji wakati kiuhalisia haimna isue kazi kuzurula na vibegi mjini hamna dira yoyote.
Ujenzi kama utausimamia mwenyewe na ukajua namna sahihi yakukwepa gharama utatumia pesa yakawaida.
Sio mbaya ninyi endeleeni kugombania na kujisifia kupanga nyumba za wenzenu zenye tiles nzuri,aluminium,uzio na ma geti mpaka mstuke mvi kichwani.
Watu kama hawa huwa tunawapuuza mkuu, vijana wana maneno ya shombo kumbe wanalala sebuleni kama baiskel, hata chumba moja hawajawahi kujenga msingi wake...nimekuelwa sana hongera kwa mawazo mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeweka bati la kawaida kabisa sitaki mambo mengi.Mungu akijaalia nitabadili ila for now napambana na hali yangu.matofali nimefyatua mwenyewe mfuko mmoja unatoka Matofali block 35.kench za kawaida nimenunua buguruni.nilitaka nihamie kwangu mengine taratibu namalizia nikiwa ndani kama gypsum niliweka sebulen tu na chumbani kwangu tena baada ya kuwa nimeshahamia ndani. Sioni kwa nini watu wanabisha na kupandisha bei wakati kila mtu ana namna ya kuishi maisha yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Safii! Nimependa ushuhuda wako kuna jamaa comment za Juu huko anadai kapaua kwa million 15
Ila uzuri wa jf bana watu kujimwambafy, unaweza kuta kamanda amepanga chumba cha giza
 
Safii! Nimependa ushuhuda wako kuna jamaa comment za Juu huko anadai kapaua kwa million 15
Ila uzuri wa jf bana watu kujimwambafy, unaweza kuta kamanda amepanga chumba cha giza

Mkuu...kila nyumb ina ukubwa wake zile mbao za kupaulia acha kbs fundi akikupigia hizo hesabu zake!...
 
Kama somo linavyojielewa hapo juu

Wakuu, wale wataalamu wa ujenzi. Kwa pesa hiyo naona kama sijafikia lengo kwa sababu sijaweka madirisha (drill) kati dirisha 08 mbili tayari mlango (drill) tayari. Lakini kitu kinachoniuma sijapiga hesabu vizuri.

Nilitegemea kibanda japo niwe nimehamia.

Floor bado, blandaring, je sijapoteza?

Asante sana
Kwako baba, kwako. Hakuna cha ngo ngo za baba/mama mwenye nyumba, umejiokoa, umejilipuwa, hongera mno...
 
Kwa mtu makini anayejua kucheza na pesa kwenye ujenzi kama nyumba ya ukubwa huo imeshakula 50millions na hujafikia hata kupiga plaster basi amini usiamini fundi wako au unayemwamini kukusimamia ujenzi atahamia kwenye nyumba yake akuache ukiwa bado kwenye nyumba ya kupanga.

Materials unaagiza kwa container kutoka ulaya au?sipo hapa kubishana nimekupa tahadhari tu.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk


Ata mimi nimeshangaa kwa kwelii mil hamsini hajapiga ata plaster wala tiles..sijui katumia material gani kujengea
Labda quatz badala ya tofali.
 
Back
Top Bottom