HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mbona ndogo hiyo kama eneo la kuezeka ni 100 sqm bado itakuwa ni 1.85mil
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ujenz unaongezeka garama kutokana na quality za material unayotaka kujengea ivi unajua square meter moja ya kigae cha romantile ni almost 18500 usibishe mkuu akikuambia ametumia 50m ni kutokana na aina ya materials alizotumia ww ukiezeka na simba dumu na mwenzio akiezekea roman tiles hamtakuwa na garama sawa za kupaua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app