Kwani cement Dar sh ngapi? Huku Mwanza ni 19-19500Gharama ujenzi mikoani ni nafuu kuliko Dar, viwanja na mafundi ni bei ya chini sana,material bei zake tofauti yake na DSM ni kidogo sana kwa sababu ya ushindani wa kibiashara.
Wee jamaa bhana, unaongelea milioni 50. kwa rate za mainjinia wengine hiyo nyumba wanakamilisha kwa milioni 200.Ndugu usitishwe na maneno kama Haya. Hatua uliyopiga ni kubwa. Angalia huyu ndugu milion 50 na bado ajamaliza finishing vyumba vitatu? Kupau 15 unapau nini? Ndio fundi wako anakupiga namna hii?? Kama kweli unajenga na sio porojo na umetumia kiasi hicho basi huyo fundi wako kamtimue haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona tayar ushakuwa! Sema amen kwanza!
Halaf k hebu Fanya kutupia bas digits zako kwa waziri mkuu,nilizipoteza et[emoji849]
Pwani yote bei no 13000-14000! Sijajua km imepandaKwani cement Dar sh ngapi? Huku Mwanza ni 19-19500
Kuna watu humu hawatakuelewa, sijui hizo nyumba zao wanajengea vitu gani, au unavizia vibaka wakiiba huko wanakuletea kwa bei cheeHapo nahisi hakuna plaster. Hakuna ceiling board ya aina yoyote. Mbao ni zile rejected.
Imejengwa kama za Wapemba was jenga uza.
Au labda jamaa Iyo nyumba anapaua kwa ZEGENdugu usitishwe na maneno kama Haya. Hatua uliyopiga ni kubwa. Angalia huyu ndugu milion 50 na bado ajamaliza finishing vyumba vitatu? Kupau 15 unapau nini? Ndio fundi wako anakupiga namna hii?? Kama kweli unajenga na sio porojo na umetumia kiasi hicho basi huyo fundi wako kamtimue haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwee!
Kama somo linavyojielewa hapo juu
Wakuu, wale wataalamu wa ujenzi. Kwa pesa hiyo naona kama sijafikia lengo kwa sababu sijaweka madirisha (drill) kati dirisha 08 mbili tayari mlango (drill) tayari. Lakini kitu kinachoniuma sijapiga hesabu vizuri.
Nilitegemea kibanda japo niwe nimehamia.
Floor bado, blandaring, je sijapoteza?
Asante sana mods.
acheni kupotosha na kukatisha watu tamaa! .Siyo "DRILL"ni GRILL,halafu kwa 12,000,000/= na umepaua basi unawezakuwa umejenga mchanga mtupu,hiyo ni hela ya kujenga room mbili bila finnishing kuanza,hata mfumo wa maji safi ndani hujaweka,na hapo utakuwa umepaua na bayi za gauge 30,mbao zilizokuwa treated na oil chafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
bora umewachana wapuuz kweli!Ninyi vijana wa mjini kujifanya kujua kwingi ndio maana kila siku mnamaliza mtaa kwenye nyumba za kupanga,miezi sita tabata,inayofuata sinza,kimara hamjengi.
Wakati mwingine mkija mikoani mnaona aibu kwakuwakuta vijana wa umri chini yenu wapo kwenye nyumba zao na maisha yanasonga.
Hii ni kwasababu ya kujifanya wajuaji wakati kiuhalisia haimna isue kazi kuzurula na vibegi mjini hamna dira yoyote.
Ujenzi kama utausimamia mwenyewe na ukajua namna sahihi yakukwepa gharama utatumia pesa yakawaida.
Sio mbaya ninyi endeleeni kugombania na kujisifia kupanga nyumba za wenzenu zenye tiles nzuri,aluminium,uzio na ma geti mpaka mstuke mvi kichwani.
Mkuu naongelea nyumba siyo kibanda kama mleta mada anavyodai, kwa rate za mainjinia hii nyumba hujengi chini ya 100m. Unaongelea milioni 50, hauko serious..
Haya ndo madhara ya kujenga kwa googleDah! Hujapoteza. Nimeshazamisha the same amount lakini nyumba ndio kwanza iko kwenye msingi na sioni dalili za kuumaliza.
Hawa vijana wa Daslama ni wapuuzi sana yani wakishakua na uwezo wa kupanga kachumba kamoja Sinza tv flat screen,kasofa,kafliji na kitanda cha 6x6 basi wanamuona kila mtu ni fala.Ninyi vijana wa mjini kujifanya kujua kwingi ndio maana kila siku mnamaliza mtaa kwenye nyumba za kupanga,miezi sita tabata,inayofuata sinza,kimara hamjengi.
Wakati mwingine mkija mikoani mnaona aibu kwakuwakuta vijana wa umri chini yenu wapo kwenye nyumba zao na maisha yanasonga.
Hii ni kwasababu ya kujifanya wajuaji wakati kiuhalisia haimna isue kazi kuzurula na vibegi mjini hamna dira yoyote.
Ujenzi kama utausimamia mwenyewe na ukajua namna sahihi yakukwepa gharama utatumia pesa yakawaida.
Sio mbaya ninyi endeleeni kugombania na kujisifia kupanga nyumba za wenzenu zenye tiles nzuri,aluminium,uzio na ma geti mpaka mstuke mvi kichwani.
Ndugu usitishwe na maneno kama Haya. Hatua uliyopiga ni kubwa. Angalia huyu ndugu milion 50 na bado ajamaliza finishing vyumba vitatu? Kupau 15 unapau nini? Ndio fundi wako anakupiga namna hii?? Kama kweli unajenga na sio porojo na umetumia kiasi hicho basi huyo fundi wako kamtimue haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu hapo kuna nafuu kubwa sana sana asee,manake mbao,nondo hakuna tofauti kubwa sana.Kidunula 1 maeneo mengi bei ni tsh 14,000/= - 14,500/=