Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
Kwa mtu makini anayejua kucheza na pesa kwenye ujenzi kama nyumba ya ukubwa huo imeshakula 50millions na hujafikia hata kupiga plaster basi amini usiamini fundi wako au unayemwamini kukusimamia ujenzi atahamia kwenye nyumba yake akuache ukiwa bado kwenye nyumba ya kupanga.
Materials unaagiza kwa container kutoka ulaya au?sipo hapa kubishana nimekupa tahadhari tu.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk