Naomba mto hoja na mjenzi wa nyumba hii aweke mchanganuo hapa ili tuweze kumuamini, hata mimi sikubaliani kwama hicho kiwango kingeweza kumjengea nyumba kama hii, anaonekana amepiga lipu, hiyo simemti ya lipu ni shs ngapi? hizo kench ni mbao za sh ngapi? nyumba hii umetumia matofali mangani ya sh ngapi? mimi nina mradi wa interlock sana sana lowest cost ninayoweza tena kwa kujibana sana itakuan 25 - 30m. kwa hili naweza kutoa mchanganuo mkiniuliza, lakini lazima mwenye nyumba awe na kiwanja, hii ni bila hela za kiwanja na bila kuezeka, msingi sichimbi mrefu na huko natumia tofali za kawaida, na interlocking zangu ni nchi 4 ndogo kidog kwa tofali ya kawaida