Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sielewi una matatizo gani na sijui nikusaidieje/Acheni dharau, jamaa kajitutumua mnaleta dharau za kifisadi kwa nn usiwe fisadi? Unajua gharama ya kiwanja?
Inaoneka unachukulia mambo kinadharia kuliko uhalisia mkuu, jaribu kutafuta ukweli wa jambo kabla hujapingaMkuu kama haujui kaa kimya, tofali za udongo sh 30 na wakikuchomea ni sh 50
wakuu hamuwezi amini ninejikakamua kujenga Nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe ki la kitu ni maamuzi tu.
wakuu hamuwezi amini ninejikakamua kujenga Nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe ki la kitu ni maamuzi tu.[/QUOTE
Yaani kweli na wewe unajisifu? nyumba gani hata miti au bustani hujapanda? utadhani ya enzi zileeeeeee
Mbona kama haijaisha, pambana kazi bado ipowakuu hamuwezi amini ninejikakamua kujenga Nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe ki la kitu ni maamuzi tu.
Kweli mkuu.Hongera sana.
Hapo utakuwa umetumia matofali ya kuchoma kama sikosei.
4.5 m + finishing?!
Mbona nyumba Kama pango?
Wajisifia kujenga pango au?!!
Samahani lakini!
Ulijenga ama umejenga? weka mchakato hapa tuamini.
4.5 m + finishing?!
Mbona nyumba Kama pango?
Wajisifia kujenga pango au?!!
Samahani lakini!
wakuu hamuwezi amini ninejikakamua kujenga Nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe ki la kitu ni maamuzi tu.