Nimejichanganya kuoa mwanamke mwenye mimba

HUYO MWANAMKE NI MPUMBAVU ACHANA NAYE KABISA.
 
Usimrudiane nae kwasababu ya huruma ,

Nakushauri uhame apo ulipopanga asijue YOYOTE anaekujua ulipohamia
 
Umevumilia hiyo mimba, uvumilie na matusi tena!! Hayo matusi yanakuonyesha kuwa umeingia choo cha wanawake. Kimbia haraka.
 
Sielewe nicheke ama nikuhurumie ama nifanyeje,kwa makusudi kabisa ukiwa na akili timamu umeamua kulea bao la mme mwenzio?
Pamoja na matukio yote bado hujakoma baba huruma?kama ana shida kweli si arudi nyumbani kwao,hana wazazi?
Mtu wa aina yako ni hasara kwa wazazi.
 
Kwa hakika hakukosea kusema "Wewe sio Mwanaume", the rest watakuja kumalizia wengine
 
NAKAZIA
 
Daa eti ananidharau na kunifokea kwa hiyo hapo wewe ndio umepanga kuoa au ndio unaolewa hivyo.
Hivi wanawake wa hivyo huwa mnawaokota wapi, mtu akikufanyia dharau piga chini endelea na maisha mengine mkuu
Sasa mwanaume kama umelegea kufikia kuoa mdangaji unataka akuheshimu vipi wakati unaonekana popoma
 
rudi tena kwa wazazi wake, na wako na uwaeleze ukweli kama ulivyotuelekeza sisi hapa, kisha waambie kabisa kwamba hakuna harusi tena na hauko na huyo mwanamke, kabla hujaonekana wewe ni tatizo, mkuu suala la kujifungua ni suala la kufa na kupona, chukua tahadhali mapema, kwa maelezo yako huyo mwanamke humpendi tena bali unamuonea huruma, na iko hivyo, si kila mwanamke unayempenda wewe naye anakupenda pia, wewe ni kama daraja kwake, hakufai huyo, huwa sipendagi kushauri watu kuhusu mapenzi, lakini imenibidi sababu nilishawai kuoa single mother, niliyokutana nayo najua mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…