Nimejichanganya kuoa mwanamke mwenye mimba

Nimejichanganya kuoa mwanamke mwenye mimba

Duuh, pole sana...msaada uliompa unatosha, ulisema mimba aliipata kwenye harakati za udangaji hivyo huyo ni Malaya...kama Hana njia ya kuishi ataipata tu, Kuna mambo huwa tunajifunza Kwa njia ngumu kweli, lakini ukiendelea kutojifunza dunia itakuonyesha kuwa watu wajinga hawatakiwi na nature...ushauri wangu ni kwamba, usimsaidie Wala kurudiana naye Kwa chochote, ni uamuzi mgumu sana kama ukiwa si mtu wa msimamo.

Muache Akomae mwenyewe ataipata tu njia ya kutoboa, again usithubutu kufanya tena hivyo utajikuta unajuta pa kubwa kwenye maisha yako yote.
 
Miaka ya ujana wangu niliwahi mtongoza mwanadada mmoja akanikataa, nikambembeleza weeeeeeh hadi akaniambia "aaaah!....wacha nikuonee HURUMA nikupe tu japo mara moja", huwezi amini baada ya kumpiga miti kibao kikageuka ikawa yeye ndio ananitafuta Kila wakati anataka mjegeje lakini sikumuonea HURUMA hata!

Usioe / kuolewa kwa kigezo cha kumuonea huyo mtu wako huruma.
 
Kama unamuonea huruma na kama kweli hiii story si chai basi we msaidie vifaa vya kujifungulia kama uwezo upo then temana naye na hapo unapokaa hama.
 
Wnder ushauri ni huu ufanyie kazi
Watu ambao wapo depressed Kama hao ukikutana nao fanya hivi

Msaidie na umrejeshe katika comfort zone .

Mpe msaada ambao unaona upo ndani ya uwezo wako then baada ya hapo yeye mwenyewe achague kukupenda au kuendelea na maisha

Kama akikupenda it is OK Ila akiendelea na maisha it is OK utakuwa umepanda wema


Usije ukarudia tena kutumia shida za mwanamke Kama advantage ya kumpata utaumia Sana


Ushauri

Kwakuwa Ana mimba kubwa endelea kumsiadia ajifungue na akijifungua muhudumie angalau three months then mruhusu aendelee na maisha
 
Mapenzi na huruma havikai pamoja mkuu, achana na huyo mshenzi wa tabia. Shukuru sana hilo baya limekuepuka, kama una huruma sana msaidie gharama ya vifaa vya kujifungulia ila sio kumrudisha kwako..
Unachukua mwanamke mwenye mimba ya mtu mwingine yanini? Ng'ombe tu ndio unaweza mchukua akiwa na mimba ila sio binadamu. Nna imani umejifunza na usirudie kosa.
Bila kuchoka 💪
 
Ukiamua kuyavulia maji nguo yaoge! Kama uliamua kuyajenga na mjamzito yajenge tu.
Fahamu tu Mwanamke akiwa mjamzito hata kama ni mkeo na mimba ni yako matusi yenyewe ni kitu cha kawaida!
Hata hivyo Mkuu una huruma kweli kweli! Yaani unatukanwa matusi na kuabishwa kwa mimba ya mtu?
 
Ukikuta mwanamke kaachwa na mwanaume fikiria mara tatu usidhani jamaa ni mpumbafu

Utakuja kujua kuwa hujui
 
Mapenzi na huruma havikai pamoja mkuu, achana na huyo mshenzi wa tabia. Shukuru sana hilo baya limekuepuka, kama una huruma sana msaidie gharama ya vifaa vya kujifungulia ila sio kumrudisha kwako..
Unachukua mwanamke mwenye mimba ya mtu mwingine yanini? Ng'ombe tu ndio unaweza mchukua akiwa na mimba ila sio binadamu. Nna imani umejifunza na usirudie kosa.

Huwezi kutenganisha mapenzi na huruma. Ila watu wazembe ni kuwapigwa vita na Mungu hapendi watu wazembe.

Mtoa mada anashida kidogo.
 
Hana kwao? Achana na mambo ya huruma Young Man yatakushinda.
 
Mwezi watano katika mihangaiko yangu nikakutana na mdada mmoja nikamwelewa tukayajenga mwisho tukakubaliana kuishi pamoja.

Alinieleza changamoto zinazomkabili huku akiwa na mimba ya miezi 2 anasema baba wa mtoto wamepotezana ni watu waliokutana katika kudanga hivyo hajui namna ya kumpata.

Hivyo basi nikajitoa kwa nia ya kumpata mke na kutoa msaada. Tukakubaliana itakuwa ni siri yetu na nikimuoa mtoto atatambulika ni wangu kawaida.

Sasa basi tukakaa pamoja kama miezi miwili akaniambia nimtambulishe kwa wazazi nikafanya hivyo nikampeleka Kwa wazazi wakamwona na wakampenda.

Sasa baada yakurudi mjini akaanza dharau ananidharau mpaka aibu Kwa majirani Yani ananifokea kama mtoto.

Kibaya zaidi anafanya kosa nikimweleza anakuwa mkali huku akisema kwa sauti "unafanya hivi kwasababu sio damu yako" ameshatangaza Kwa majirani wote kuwa mimba sio yangu.

Mwisho ameamuwa kuongea maneno mengi ya aibu na dharau kisha akaondoka mwenyewe. Ikumbukwe kwamba ameshataka kuondoka zaidi ya mara tatu nikamzuia akaona kama namng'angania akazidisha jeuri na dharau.

Sasa alipoamuwa kuondoka alisema hatarudi nyuma kwanza kwangu palikuwa panamtesa analishwa vyakula ambavyo hataki kwani yeye anataka ale chipsi Kila siku. Akafikia hatua ya kuniambia mimi sio mwanaume.

Mimi nikamuacha akakusanya virago vyake akaondoka zake mwenyewe. Sasa cha kushangaza kesho yake tu anaanza kuomba kurudi nikamwambia mimi ndio sirudi nyuma nenda kakae huko huko Kwa walio wanaume.

Akaenda akapangisha jirani na hapa napoishi mimi kisha ananisumbua sana anasema anateseka anaomba msamaha lakini mimi simtaki tena lakini kwaupande mwingine mimi roho inaniuma mimba sio yangu lakini Kuna roho ya huruma ninayo juu yake.

Ukizingatia mimba imefika miezi 8 ananiambia anataka vifaa vya kujifungulia na analala njaa hana chakula na analala kwenye mkeka.

Naomba ushauri nifanyaje nashindwa nitawaelezaje nyumbani kuhusu hili suala.
Wewe japo hayashauriki ila huo ni uzwazwa huyo sio mwanamke kaja kupata unafuu tu hapo ,na akija kujifungua akajipata lazima atamtafuta huyo bwana ake kwa nguvu zote na wataanza kuwasiliana kwa ajili ya amani ya moyo wako hama hapo, wazee utajua tu la kuwaeleza,mwanamke asiye na adabu namchukia sana sanA PIGA CHINI HUYO ACHA MAZOEA YA KIS&NGE MPAKA NAPATA HASIRA
 
Akale alikopeleka mboka, danga hafugiki,mpe jibu moko "kadange tena upate hela za kujifungua unamuonea huruma danga kumbe naye anakuonea huruma, Subannalah.,acha undwI
 
Mwezi watano katika mihangaiko yangu nikakutana na mdada mmoja nikamwelewa tukayajenga mwisho tukakubaliana kuishi pamoja.

Alinieleza changamoto zinazomkabili huku akiwa na mimba ya miezi 2 anasema baba wa mtoto wamepotezana ni watu waliokutana katika kudanga hivyo hajui namna ya kumpata.

Hivyo basi nikajitoa kwa nia ya kumpata mke na kutoa msaada. Tukakubaliana itakuwa ni siri yetu na nikimuoa mtoto atatambulika ni wangu kawaida.

Sasa basi tukakaa pamoja kama miezi miwili akaniambia nimtambulishe kwa wazazi nikafanya hivyo nikampeleka Kwa wazazi wakamwona na wakampenda.

Sasa baada yakurudi mjini akaanza dharau ananidharau mpaka aibu Kwa majirani Yani ananifokea kama mtoto.

Kibaya zaidi anafanya kosa nikimweleza anakuwa mkali huku akisema kwa sauti "unafanya hivi kwasababu sio damu yako" ameshatangaza Kwa majirani wote kuwa mimba sio yangu.

Mwisho ameamuwa kuongea maneno mengi ya aibu na dharau kisha akaondoka mwenyewe. Ikumbukwe kwamba ameshataka kuondoka zaidi ya mara tatu nikamzuia akaona kama namng'angania akazidisha jeuri na dharau.

Sasa alipoamuwa kuondoka alisema hatarudi nyuma kwanza kwangu palikuwa panamtesa analishwa vyakula ambavyo hataki kwani yeye anataka ale chipsi Kila siku. Akafikia hatua ya kuniambia mimi sio mwanaume.

Mimi nikamuacha akakusanya virago vyake akaondoka zake mwenyewe. Sasa cha kushangaza kesho yake tu anaanza kuomba kurudi nikamwambia mimi ndio sirudi nyuma nenda kakae huko huko Kwa walio wanaume.

Akaenda akapangisha jirani na hapa napoishi mimi kisha ananisumbua sana anasema anateseka anaomba msamaha lakini mimi simtaki tena lakini kwaupande mwingine mimi roho inaniuma mimba sio yangu lakini Kuna roho ya huruma ninayo juu yake.

Ukizingatia mimba imefika miezi 8 ananiambia anataka vifaa vya kujifungulia na analala njaa hana chakula na analala kwenye mkeka.

Naomba ushauri nifanyaje nashindwa nitawaelezaje nyumbani kuhusu hili suala.
Aisee
 
Yaan wakati nasoma hii story kichwa kikaanza kuuma nikitafakari your ignorance.

Mkuu wewe ni mshamba wa mapenzi kiasi hicho??

Mkuu wewe ni mshamba wa wanawake kiasi hicho??

Hivi unamchukuaje mwanamke mwenye mimba ya mtu mwingine, sio mimba tuu bali hio mimba imepatikana kwa njia ya kudanga, unamchukua unamueka ndani, na sio ndani tuu unaenda kumtambulisha kwa wazazi, are you really that stupid??

Hivi inakuaje mwanamke unayemsaidia kulea mimba ambayo sio yako anakudharau mara kadha wa kadwa na bado unavumilia?? Broo hio sio huruma, huo ni upumbavu?

Iko hivi kwa kifupi, huyo mwanamke anamheshimu huyo jamaa aliyempa mimba na kumtelekeza kuliko wewe, wewe hakuheshimu kabisa, kwann hakuheshimu?? Anakuona huna standard, unaokota-okota tuu wanawake, he sees you as a simp.
Kwanza, badala ya kupewa mimba na kutelekezwa tayar amesha develop a sense of inferiority, anajiona dhamani yake imeshuka kwasababu ya matukio yaliyomtokea, sasa kwa jinsi wanawake wanavyofikiri, wewe anakuona boya na anakuona kama "a low-value man" kwa kumchukua na kumfanya mpenzi wako, wewe uliyeamua kumchukua yeye aliyedanga na kutelekezwa na mimba juu, sifa ambazo zinamfanya mwanaume yoyote mkamilifu aone kinyaa, ila wewe hukuona, bac ngoja nikwambie yeye Hakuoni wewe kama shujaa unayemsaidia, anakuona kama "a low value man" ambaye huna standard na huna thamani, ndo maana anakudharau.
 
Back
Top Bottom