Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ishamuondokaHuwezi kutenganisha mapenzi na huruma. Ila watu wazembe ni kuwapigwa vita na Mungu hapendi watu wazembe.
Mtoa mada anashida kidogo.
28yrsUna umri ganii?
Ndugu wako sumbawanga sisi tuko tangaNdugu hana si arudi nyumbani kwao..
Watu wake siwajui. lakini aliniunganisha na mama yake tukawa tunawasiliana Kwa simuIkiwa hii ni stori ya kweli basi nimekubali kweli kua uyaone!
- Kosa la kwanza ulilolifanya ni kuishi kinyumba/Kutaka kuoa mwanamke mwenye mimba ambayo sio yako
- Kosa la pili ni kufanya maamuzi hayo kwa mwanamke mdangaji. Yani kweli hauna kinyaa kiasi hicho kamanda? mwanamke hata aliyemtia mimba hamjui vizuri (wapi anapatikana na watu wake ni kina nani)
Wewe unapaswa ushukuru umeziona rangi halisi ndani ya muda mfupi kabla haujawekeza maisha yako kwake. Huyo mwanamke ni wa kumuepuka mbali kabisa.
Kama unaweza msaidie hivo vifaa anavyohitaji ama msaidie kumfikisha kwao and then na wewe potea kama alivyopotea aliemtia mimba, otherwise atakuganda na wewe mwenyewe unaonekana hujiwezi kwake. Au hata watu wake na wewe pia huwajui? ... mnakurupuka sana vijana!
28yrsWe una umri gani ndugu? Tuazie hapo kwanza.
Story yakweli kabisa mkuu. Nilijichanganya nikahisi kama namsaidia kumbe nilikuwa nimepotoka. Mambo aliyonieleza ni mengi sana yaliyomsibu mpaka sasa ana miaka 20 alitoka kwao akiwa na miaka 17 akapelekwa mjini kufanya kazi kazi yenyewe bar.amekutana na wale wauzabaa konki wakamfunza udangaji mwisho wa siku ndio kama hivyo.CHAI.
Nakubaliana na wewe 💯 Kwa muda niliokaa nae nimemkifu kwahizo dharau.Yaan wakati nasoma hii story kichwa kikaanza kuuma nikitafakari your ignorance.
Mkuu wewe ni mshamba wa mapenzi kiasi hicho??
Mkuu wewe ni mshamba wa wanawake kiasi hicho??
Hivi unamchukuaje mwanamke mwenye mimba ya mtu mwingine, sio mimba tuu bali hio mimba imepatikana kwa njia ya kudanga, unamchukua unamueka ndani, na sio ndani tuu unaenda kumtambulisha kwa wazazi, are you really that stupid??
Hivi inakuaje mwanamke unayemsaidia kulea mimba ambayo sio yako anakudharau mara kadha wa kadwa na bado unavumilia?? Broo hio sio huruma, huo ni upumbavu?
Iko hivi kwa kifupi, huyo mwanamke anamheshimu huyo jamaa aliyempa mimba na kumtelekeza kuliko wewe, wewe hakuheshimu kabisa, kwann hakuheshimu?? Anakuona huna standard, unaokota-okota tuu wanawake, he sees you as a simp.
Kwanza, badala ya kupewa mimba na kutelekezwa tayar amesha develop a sense of inferiority, anajiona dhamani yake imeshuka kwasababu ya matukio yaliyomtokea, sasa kwa jinsi wanawake wanavyofikiri, wewe anakuona boya na anakuona kama "a low-value man" kwa kumchukua na kumfanya mpenzi wako, wewe uliyeamua kumchukua yeye aliyedanga na kutelekezwa na mimba juu, sifa ambazo zinamfanya mwanaume yoyote mkamilifu aone kinyaa, ila wewe hukuona, bac ngoja nikwambie yeye Hakuoni wewe kama shujaa unayemsaidia, anakuona kama "a low value man" ambaye huna standard na huna thamani, ndo maana anakudharau.
Kumbafu weweMwezi watano katika mihangaiko yangu nikakutana na mdada mmoja nikamwelewa tukayajenga mwisho tukakubaliana kuishi pamoja.
Alinieleza changamoto zinazomkabili huku akiwa na mimba ya miezi 2 anasema baba wa mtoto wamepotezana ni watu waliokutana katika kudanga hivyo hajui namna ya kumpata.
Hivyo basi nikajitoa kwa nia ya kumpata mke na kutoa msaada. Tukakubaliana itakuwa ni siri yetu na nikimuoa mtoto atatambulika ni wangu kawaida.
Sasa basi tukakaa pamoja kama miezi miwili akaniambia nimtambulishe kwa wazazi nikafanya hivyo nikampeleka Kwa wazazi wakamwona na wakampenda.
Sasa baada yakurudi mjini akaanza dharau ananidharau mpaka aibu Kwa majirani Yani ananifokea kama mtoto.
Kibaya zaidi anafanya kosa nikimweleza anakuwa mkali huku akisema kwa sauti "unafanya hivi kwasababu sio damu yako" ameshatangaza Kwa majirani wote kuwa mimba sio yangu.
Mwisho ameamuwa kuongea maneno mengi ya aibu na dharau kisha akaondoka mwenyewe. Ikumbukwe kwamba ameshataka kuondoka zaidi ya mara tatu nikamzuia akaona kama namng'angania akazidisha jeuri na dharau.
Sasa alipoamuwa kuondoka alisema hatarudi nyuma kwanza kwangu palikuwa panamtesa analishwa vyakula ambavyo hataki kwani yeye anataka ale chipsi Kila siku. Akafikia hatua ya kuniambia mimi sio mwanaume.
Mimi nikamuacha akakusanya virago vyake akaondoka zake mwenyewe. Sasa cha kushangaza kesho yake tu anaanza kuomba kurudi nikamwambia mimi ndio sirudi nyuma nenda kakae huko huko Kwa walio wanaume.
Akaenda akapangisha jirani na hapa napoishi mimi kisha ananisumbua sana anasema anateseka anaomba msamaha lakini mimi simtaki tena lakini kwaupande mwingine mimi roho inaniuma mimba sio yangu lakini Kuna roho ya huruma ninayo juu yake.
Ukizingatia mimba imefika miezi 8 ananiambia anataka vifaa vya kujifungulia na analala njaa hana chakula na analala kwenye mkeka.
Naomba ushauri nifanyaje nashindwa nitawaelezaje nyumbani kuhusu hili suala.
1. Suala la kuoa ni la kwako na si la wazazi. Waswahili huwa tunashindwa kuendelea Kwa sababu eti ndugu, Marafiki, majirani, ninaosali nao watanionaje.Mwezi watano katika mihangaiko yangu nikakutana na mdada mmoja nikamwelewa tukayajenga mwisho tukakubaliana kuishi pamoja.
Alinieleza changamoto zinazomkabili huku akiwa na mimba ya miezi 2 anasema baba wa mtoto wamepotezana ni watu waliokutana katika kudanga hivyo hajui namna ya kumpata.
Hivyo basi nikajitoa kwa nia ya kumpata mke na kutoa msaada. Tukakubaliana itakuwa ni siri yetu na nikimuoa mtoto atatambulika ni wangu kawaida.
Sasa basi tukakaa pamoja kama miezi miwili akaniambia nimtambulishe kwa wazazi nikafanya hivyo nikampeleka Kwa wazazi wakamwona na wakampenda.
Sasa baada yakurudi mjini akaanza dharau ananidharau mpaka aibu Kwa majirani Yani ananifokea kama mtoto.
Kibaya zaidi anafanya kosa nikimweleza anakuwa mkali huku akisema kwa sauti "unafanya hivi kwasababu sio damu yako" ameshatangaza Kwa majirani wote kuwa mimba sio yangu.
Mwisho ameamuwa kuongea maneno mengi ya aibu na dharau kisha akaondoka mwenyewe. Ikumbukwe kwamba ameshataka kuondoka zaidi ya mara tatu nikamzuia akaona kama namng'angania akazidisha jeuri na dharau.
Sasa alipoamuwa kuondoka alisema hatarudi nyuma kwanza kwangu palikuwa panamtesa analishwa vyakula ambavyo hataki kwani yeye anataka ale chipsi Kila siku. Akafikia hatua ya kuniambia mimi sio mwanaume.
Mimi nikamuacha akakusanya virago vyake akaondoka zake mwenyewe. Sasa cha kushangaza kesho yake tu anaanza kuomba kurudi nikamwambia mimi ndio sirudi nyuma nenda kakae huko huko Kwa walio wanaume.
Akaenda akapangisha jirani na hapa napoishi mimi kisha ananisumbua sana anasema anateseka anaomba msamaha lakini mimi simtaki tena lakini kwaupande mwingine mimi roho inaniuma mimba sio yangu lakini Kuna roho ya huruma ninayo juu yake.
Ukizingatia mimba imefika miezi 8 ananiambia anataka vifaa vya kujifungulia na analala njaa hana chakula na analala kwenye mkeka.
Naomba ushauri nifanyaje nashindwa nitawaelezaje nyumbani kuhusu hili suala.
Mkuu,So wewe ulipokea Mimba ya Mwanaume mwingine na ukajiona Kidume?Ushauri,Mpe Mahitaji yote ya Kujifungua salama na kodi mlipie kabisa ila usiishi naye nyumba moja wala usimuoe wala usitake mtoto apewe jina lako wala nini.Yeyey awe singo maza na wewe uwe Huru kuoa mwingine.Siku ingine uache huo ujinga.Wanawake huwa wanawajua waliowatia Mimba...Mwezi watano katika mihangaiko yangu nikakutana na mdada mmoja nikamwelewa tukayajenga mwisho tukakubaliana kuishi pamoja.
Alinieleza changamoto zinazomkabili huku akiwa na mimba ya miezi 2 anasema baba wa mtoto wamepotezana ni watu waliokutana katika kudanga hivyo hajui namna ya kumpata.
Hivyo basi nikajitoa kwa nia ya kumpata mke na kutoa msaada. Tukakubaliana itakuwa ni siri yetu na nikimuoa mtoto atatambulika ni wangu kawaida.
Sasa basi tukakaa pamoja kama miezi miwili akaniambia nimtambulishe kwa wazazi nikafanya hivyo nikampeleka Kwa wazazi wakamwona na wakampenda.
Sasa baada yakurudi mjini akaanza dharau ananidharau mpaka aibu Kwa majirani Yani ananifokea kama mtoto.
Kibaya zaidi anafanya kosa nikimweleza anakuwa mkali huku akisema kwa sauti "unafanya hivi kwasababu sio damu yako" ameshatangaza Kwa majirani wote kuwa mimba sio yangu.
Mwisho ameamuwa kuongea maneno mengi ya aibu na dharau kisha akaondoka mwenyewe. Ikumbukwe kwamba ameshataka kuondoka zaidi ya mara tatu nikamzuia akaona kama namng'angania akazidisha jeuri na dharau.
Sasa alipoamuwa kuondoka alisema hatarudi nyuma kwanza kwangu palikuwa panamtesa analishwa vyakula ambavyo hataki kwani yeye anataka ale chipsi Kila siku. Akafikia hatua ya kuniambia mimi sio mwanaume.
Mimi nikamuacha akakusanya virago vyake akaondoka zake mwenyewe. Sasa cha kushangaza kesho yake tu anaanza kuomba kurudi nikamwambia mimi ndio sirudi nyuma nenda kakae huko huko Kwa walio wanaume.
Akaenda akapangisha jirani na hapa napoishi mimi kisha ananisumbua sana anasema anateseka anaomba msamaha lakini mimi simtaki tena lakini kwaupande mwingine mimi roho inaniuma mimba sio yangu lakini Kuna roho ya huruma ninayo juu yake.
Ukizingatia mimba imefika miezi 8 ananiambia anataka vifaa vya kujifungulia na analala njaa hana chakula na analala kwenye mkeka.
Naomba ushauri nifanyaje nashindwa nitawaelezaje nyumbani kuhusu hili suala.
Bila picha yake hii itakua chai bora.Mapenzi na huruma havikai pamoja mkuu, achana na huyo mshenzi wa tabia. Shukuru sana hilo baya limekuepuka, kama una huruma sana msaidie gharama ya vifaa vya kujifungulia ila sio kumrudisha kwako..
Unachukua mwanamke mwenye mimba ya mtu mwingine yanini? Ng'ombe tu ndio unaweza mchukua akiwa na mimba ila sio binadamu. Nna imani umejifunza na usirudie kosa.
NakaziaMapenzi na huruma havikai pamoja mkuu, achana na huyo mshenzi wa tabia. Shukuru sana hilo baya limekuepuka, kama una huruma sana msaidie gharama ya vifaa vya kujifungulia ila sio kumrudisha kwako..
Unachukua mwanamke mwenye mimba ya mtu mwingine yanini? Ng'ombe tu ndio unaweza mchukua akiwa na mimba ila sio binadamu. Nna imani umejifunza na usirudie kosa.
😀😀Depression imesaidia depression ili iondokane na depression ikaishia kupata depression 😂
Tena buti la jejekama ushawahi kusikia kuna watu na viatu .....basi ww ni kiatu.