rudi tena kwa wazazi wake, na wako na uwaeleze ukweli kama ulivyotuelekeza sisi hapa, kisha waambie kabisa kwamba hakuna harusi tena na hauko na huyo mwanamke, kabla hujaonekana wewe ni tatizo, mkuu suala la kujifungua ni suala la kufa na kupona, chukua tahadhali mapema, kwa maelezo yako huyo mwanamke humpendi tena bali unamuonea huruma, na iko hivyo, si kila mwanamke unayempenda wewe naye anakupenda pia, wewe ni kama daraja kwake, hakufai huyo, huwa sipendagi kushauri watu kuhusu mapenzi, lakini imenibidi sababu nilishawai kuoa single mother, niliyokutana nayo najua mwenyewe.