Nimejichanganya kuoa mwanamke mwenye mimba

Basi achana naye fanya maisha mengine. Achana na huyo hana akili na tayari ameshaharibika.
 
We unadhan aliekimbia hiyo mimba na akawa mmoja wa wasiojulikana ni mjinga.

Mrudie udhihilishe ujinga wako......

Vijana wa siku hizi mnatuabisha wanaume.
 
Badili namba ya simu na uhame eneo hilo
 
Wewe ni fala sana.
 
Kwa waluguru hiyo ni halali yako mtoto akizaliwa ni wako huyo
 
Nimewauliza nianzishe thread na group la whatsapp ili tuwe tunashea uzoefu kwa tuliowahi kuoa masingo maza naona mpo kimya tu..
 
Bado hujakua ktk tasnia ya mapenzi. Hakuna mapenzi yanayoongozwa na huruma. Ukifikia 36yrs ndo utaielewa hii posti. Tunaoa kwa kupenda sio kuhurumia/ kusaidia
 
Tatizo ulihisi mwamba alie piga bao na kusepa ni Msenge, ila wewe ndo kidume.

Ila ukute jamaa alisha ya feel yote hayo, akaona potelea pote.
 
...'Nashindwa nitawaelezaje nyumbani'... Hiyo statement pekee inaonesha bado unamzimikia huyo shakubimbi.

Ingelikuwa ulimjaza mimba wewe, tungekushauri umbembeleze maana mimba huja na visirani vingi.

Lakini kwa namna ulivyompata huyo, alitakiwa yeye akuheshimu kupita kiwango cha adabu iliyopitiliza kwa kukuona kama mfadhili wa nia njema katika maisha yake na mlishi wa mtoto wake kijacho.

Huyo yawezekana hata aliyemtia mimba anamfahamu na wanawasiliana halafu wewe anakung'ong'a kisogoni.

Uanaume bwege huwa hausomewi kozi, bali ni matendo tu ya mtu sawa na wizi, ukae ukilielewa hilo.

Ukimrejea hasa kwa tamaa zako za kingono, ukae ukiumbuka kwamba utaishi bila staha kwa maisha yako yote yaliyosalia.

Oa msichana asiye na kashifa ya umalaya, mwenye akili ya kuweza kukushauri jambo na mipango yenu ya maisha ikasonga.

Kuoa mwanamke kwa sifa zisizokidhi vigezo, mwisho wa safari huwa ni majanga.
 
Naweza fabya upumbazvuu wote ila si kulea mimba si yangu never
 
Kama ni upendo Msaidie akiwa Kwa wazi wake. Akijifingua akapata shd utasumbuka.
 
ulinunua kiwanja chenye mgogoro ukakomaa ukarudishiwa pesa yako naona sasa unarudi tena kwa kisingizio cha huruma, hivi bwana mdogo unataka uone kitu gani kingine ili uelewe kuwa huyo mdangaji siyo sahihi kwako?
Kusikia kwa kenge hadi damu zimtoke masikioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…