Nimejifunza kitu kutoka kwa Zelensky

Nimejifunza kitu kutoka kwa Zelensky

Armed vehicles na tanks nyingi viliachwa wakaondoka wao kama wao. Waligundua kuwa Ukraine ana silaha za kuangamiza ule msafara, sana sana drones na anti tank missiles kama javeline, wakaona ili kutoka salama ni kutoka kwa migui tu.
... duh! Wakapiga mbio toka Kyiv hadi Donbass 808km! Maiti zitakuwa zilitapakaa njiani.
 
bila NATO Kyiv ingekuwa mikononi mwa jeshi la Putin ila Putin nae siku nyingine ajipange vizuri kabla ya kuanzisha vita maana anatukatisha sana tamaa team Kiba

Bila ujasiri wa Zelenskyy na wapiganaji wake wiki mbili tu Ukraine yote ingekuwa chini ya Putin mkabala na NATO uso kwa uso. Rejea Afghanistan. Silaha pekee si lolote wala chochote. Hata Warusi wameikimbia Kyiv mithili ya panya road waliovurumshwa na ffu. Vifaru, mizinga, ndege na helikopta hazikufua dafu.
 
bila NATO Kyiv ingekuwa mikononi mwa jeshi la Putin ila Putin nae siku nyingine ajipange vizuri kabla ya kuanzisha vita maana anatukatisha sana tamaa team Kiba
Siku nyingine siku gani wakati wameshamjua hana lolote ni mbwembwe tu kama Kiduku.

Mwezi huu Finland na Sweden watakapopeleka maombi ya kujiunga na Nato tuone atafanya nini. Hii Russia haina lolote ni swagger tu za kijinga za huyo kichaa wao akishalewa Vodka.
 
Zelensky ni mwana wa israel yule au hujui?
Jamaa ni jasiri sana, ameishinda hofu kabisa.
Amemwaibisha mtesi wao aliyekusudia kuwamaliza ndani ya siku 3.

Huyu ninamfananisha na Modekai alivyomshinda Hamani mtu mwenye nguvu.

Putin haamini macho yake.
Mungu anajua kuwapigania wanyonge machoni pa watu na kuwsibisha wenye nguvu.
Zelensky ni shujaa wa karne.
 
Tempo: 3/8 "Mpigieni Mungu; kelele za shangwe. Nchi yote imbeni utukufu wake ; Tukuzeni sifa zake Mu-ngu Mkuu. Mwambieni Mu-ngu, matendo yako yanatisha kama nini......." by Felician Nyundo)
Kwani amewamaliza Warusi na jeshi lake Ukraine...
Mwambieni ukuu wako na nguvu zako zinatisha Eee Mungu mkuu.
 
Bila ujasiri wa Zelenskyy na wapiganaji wake wiki mbili tu Ukraine yote ingekuwa chini ya Putin mkabala na NATO uso kwa uso. Rejea Afghanistan. Silaha pekee si lolote wala chochote. Hata Warusi wameikimbia Kyiv mithili ya panya road waliovurumshwa na ffu. Vifaru, mizinga, ndege na helikopta hazikufua dafu.
Mungu akiwa upande wako nani atakuwa juu yako?
 
Sisi kama warusi tunacho mfanya zelensky ni kumtesa kabla ya kumuua, hakuna kipigo kibaya Kama Cha kuteswa kabla ya kuuwawa maana ukiuliwa bila kuteswa ni kama unafaidi ndo maan hata binadam huwa wanakimbilia kujinyonga mambo yakiwa magumu
Sasa sisi warusi tumeamua tumvunje kiungo kimoja kimoja tumbandue kucha akiwa hai
 
😂😂
Wakati ule msafara wa kutisha wa vifaru na mizinga wa Putin wa urefu wa km 64 ukiwa unajongea Kyiv kwa mbwembwe, Zelensky alipewa ofa ya kusaidiwa kutoroka akagoma!

Wapiganaji wa Putin waliosalimika kuondoka wakiwa hai, walisepa kimyakimya bila yale mamitambo baada ya kugeuzwa screpa!
"Wapiganaji wa Putin waliosalimika kuondoka wakiwa hai, walisepa kimyakimya bila yale mamitambo baada ya kugeuzwa screpa!"
Hawa walipata ka-adhabu ka-dogo ka-kutembea kwa miguu Km. 808 hadi Donbas kwenye ngome yao. Kwa Uchovu huo na mateso mengine, baadhi yao walisepa mazima na tetesi ni kwamba wamejiunga pamoja na kuanzisha kundi linalopigana dhidi ya Urusi linalojiita Legion.
 
... hapajawahi kutokea msafara mrefu wa kijeshi wenye kila aina ya zana na majemedari kama ule tangu kuumbwa dunia hii! Ila ulivyoyeyuka kama umande wa asubuhi isisalie hata bunduki moja iliyobaki nzima pasi na kuharibiwa Mungu pekee anajua! Ajabu hili lisipoingia kwenye Guinness Book of Records itakuwa ajabu lingine!
Rekodi hii imeandikwa mbinguni kwa wino wa dhahabu.
Mungu ameshinda udhalimu.
Amewapigania wanyonge wake pamoja na kiongozi wao mnyonge.

Ni nani angemzuia Putin na jeshi lake?
Nani angezuia makombora ya Urusi kuharibu na kuteketeza?
Ni Mungu mkuu ameyafanya haya yote.
 
Kuna KITU Cha kujifunza Kwa Rais wa Ukraine. Mwanzoni mwa uvamizi wa Russia nchini Ukraine, niliona Jeshi kubwa ambalo Kwa mategemeo yangu niliona kabisa mwisho wa zelensky na Ukraine.

Hata pale alipo wahamasisha wananchi kutoogopa niliona kabisa kwamba jamaa anajidanganya. Wote tulishuhudia ule msafara wa zaidi ya km 50 wa jeshi la Russia ukielekea Kyiv Kwa lengo la kuichaza kabisa. Lakini wote hatujui ule msafara uliisjia wapi.

Kile KITU kinanikumbusha msafara wa jeshi la pharaoh Kwa wa Israel lakini ukaishia kuzamishwa ndani ya bahari. Hakika ujasiri wa zelensky unatupa haya matokeo.

Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri
Kwani US iliichukua Iraq kwa siku moja?,hebu jibu kwanza hili sio kuleta ushabiki tu hapa
 
Sisi kama warusi tunacho mfanya zelensky ni kumtesa kabla ya kumuua, hakuna kipigo kibaya Kama Cha kuteswa kabla ya kuuwawa maana ukiuliwa bila kuteswa ni kama unafaidi ndo maan hata binadam huwa wanakimbilia kujinyonga mambo yakiwa magumu
Sasa sisi warusi tumeamua tumvunje kiungo kimoja kimoja tumbandue kucha akiwa hai
Tangu lini uizunguke nyumba ya adui na uikimbie eti ndio kumtesa?.

Ninyi mlikusudia mabaya juu ya Zelensky na watu wake lakini Mungu anawawazia mema.
Aibu haitawaacha daima.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kupongweza kwa kuwaskiliza wamagharibi huku nchi yake ikigeuzwa vifusi, endeleeni kujichekesha huku mkijitekenya wenyewe, babu yenu mkuu wa umoja wa mataifa kaenda Moscow kuomba Urusi astopishe kichapo huku akilia kwahio nyinyi mnajua zaidi kuliko wao [emoji16][emoji23][emoji23] sawaaaa
Hata leo siku ya hitimisho ya mfungo bado hauheshimu damu na viumbe vyake Mungu?
Ku wapi uchaji wako?
 
Mkuu; amepunguza pilipili. Zilikuwa ni km. 65 na ndani ya mlolongo huo vikiwemo vifaru, magari ya kivita na magari ya kubeba mizigo na Askari pamoja na Majemedari wao. Na vyote hivyo hatujui viliishia wapi ila hawakufikia Kyiv.

Sio tu hawakufika kiev ila pia hawakurudi Russja nahis walinyakuliwa na Masihi[emoji56][emoji56]
 
bila NATO Kyiv ingekuwa mikononi mwa jeshi la Putin ila Putin nae siku nyingine ajipange vizuri kabla ya kuanzisha vita maana anatukatisha sana tamaa team Kiba
Yeye apigani vita ila anafanya operation, akitumia approach anayotumia Marekani ya uharibifu mkubwa siku nyingi angekuwa amemaliza kazi
 
Kwani amewamaliza Warusi na jeshi lake Ukraine...
Mwambieni ukuu wako na nguvu zako zinatisha Eee Mungu mkuu.
Mkuu; Ulitaka kumaanisha: Kwani amewamaliza Warusi kwa kutumia jeshi la Ukraine ambalo kimwonekano ni dogo na dhaifu? au vp? Fafanua kidogo mkuu.
 
Back
Top Bottom