Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kuna uungu ndani yake.Kabisa mkuu..
Ule msafara wa Putin ulikuwa unatisha hata watazamaji wa nchi za mbali wa kwenye TV, imagine mlengwa mkuu Zelensky ndani ya Kyiv.. Huyu rais siyo wa mchezo bhana, ni jasiri mnoo!
Mungu hajawahi kumuacha Israel kabisa...japo wao humuacha lakini huwa anakumbuka agano na kuwarehemu.