Nimejifunza kitu kutoka kwa Zelensky

Nimejifunza kitu kutoka kwa Zelensky

Kutaka kujiunga na NATO ndio maneno ya kunya? Kila siku tunawaambia nyinyi ambao vita mmeanza kufuatilia February 2022 kwamba Russia aliichukua Crimea, akachochea Donetsk na Luhansk kujitenga na akavunja makubaliano ya mwaka 1991 ambayo waliwekeana Ukraine, Russia na Marekani kwamba Ukraine waharibu silaha zao za nyuklia na return yake hawatojiunga na NATO na wakati huo Russia haitowavamia. Russia ikaivamia tangu 2014, kuna haja gani Ukraine kuacha kujiunga na NATO?
Donetsk na Luhansk ni sehemu ambazo watu wake wanazungumza Kirusi,hao watu walitaka kujitenga ili kuepuka manyanyaso ya Waukraine..

Zelensiky ni pimbi hana diplomasia,sio mwanasiasa ni mchekeshaji wa vipindi vya TV..

Jeuri yake ya kutishia Nyau Putin ndio imemfikisha hapo,sasa anapewa silaha na UK pamoja na US

hii itafanya vita vichukue muda meingi,hii itafanya Ukraine izidi kuteseka

Zelensiky ni pimbi
 
Donetsk na Luhansk ni sehemu ambazo watu wake wanazungumza Kirusi,hao watu walitaka kujitenga ili kuepuka manyanyaso ya Waukraine..

Zelensiky ni pimbi hana diplomasia,sio mwanasiasa ni mchekeshaji wa vipindi vya TV..

Jeuri yake ya kutishia Nyau Putin ndio imemfikisha hapo,sasa anapewa silaha na UK pamoja na US

hii itafanya vita vichukue muda meingi,hii itafanya Ukraine izidi kuteseka

Zelensiky ni pimbi
Sure
 
Donetsk na Luhansk ni sehemu ambazo watu wake wanazungumza Kirusi,hao watu walitaka kujitenga ili kuepuka manyanyaso ya Waukraine..

Zelensiky ni pimbi hana diplomasia,sio mwanasiasa ni mchekeshaji wa vipindi vya TV..

Jeuri yake ya kutishia Nyau Putin ndio imemfikisha hapo,sasa anapewa silaha na UK pamoja na US

hii itafanya vita vichukue muda meingi,hii itafanya Ukraine izidi kuteseka

Zelensiky ni pimbi
Putin anashindwa kupigana na pimbi sasa tumuite pumbu sijui. Zelenskiy ni dhaifu alafu Putin hamuwezi sasa hapo mna hoja gani
 
Rekodi hii imeandikwa mbinguni kwa wino wa dhahabu.
Mungu ameshinda udhalimu.
Amewapigania wanyonge wake pamoja na kiongozi wao mnyonge.

Ni nani angemzuia Putin na jeshi lake?
Nani angezuia makombora ya Urusi kuharibu na kuteketeza?
Ni Mungu mkuu ameyafanya haya yote.
Acha kufananisha mambo haya na upande wa Mungu. Bado hayajajifunua waziwazi kusema yupi yupo upande wa Mungu na yupi kwa shetani.
 
Zelensiky alikuwa na maneno ya kunya,Kila siku alikuwa anamtishia Putin, eti Ukraine itajiunga na NATO,..

Angekubalina na Putini kuwa Ukraine itabaki kuwa nchi Neutral haya yanayotokea sasa Ukraine yasengelitokea..

Wako wapi NATO?kabakia peke yake anawauwa Waukraine wasio na hatia..
Mkuu; Kwa nini Putin amshinikize Zelensky kuwa Neutral? Alikuwa anaogopa nini? Kuwa Ujirani na NATO?? Haikubaliki nchi moja kuilazimisha na kuipangia nchi nyingine nini cha kufanya kama Taifa huru. Huo ndio Ubeberu halisi katika ubora wake. Kama Mrusi ni Mwamba hapakuwa na sababu ya kuogopa Ukraine kujiunga na NATO. Leo atasema ww Ukraine kuwa Neutral na Ukakubali, kesho atasema wewe Ukraine rudisha mikoa yangu Donbass, Donensky, Luhanky, Kharkiv, Crimea n.k, siku nyingine atasema lipeni kodi kwangu etc. Nani atakayekubaliana na huo ujinga? Kama ni mbwai na iwe mbwai.
 
Ona sasa, Putin hadi ameamsha makali ya saratani na nani ajuaye kwamba akitoka kwenye upasuaji atapona.
 
Tempo: 3/8 "Mpigieni Mungu; kelele za shangwe. Nchi yote imbeni utukufu wake ; Tukuzeni sifa zake Mu-ngu Mkuu. Mwambieni Mu-ngu, matendo yako yanatisha kama nini......." by Felician Nyundo)
Tukuzeni sifa zake Mungubmkuuuuu!!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kupongweza kwa kuwaskiliza wamagharibi huku nchi yake ikigeuzwa vifusi, endeleeni kujichekesha huku mkijitekenya wenyewe, babu yenu mkuu wa umoja wa mataifa kaenda Moscow kuomba Urusi astopishe kichapo huku akilia kwahio nyinyi mnajua zaidi kuliko wao [emoji16][emoji23][emoji23] sawaaaa
 
Na Donbas imeshachukuliwa na Russia kama ilivyochukuliwa Crimea 2014.
Endeleeni kumpa sifa za kijinga comedian.
Donbas ipi kaka
Screenshot_2022-05-04-11-14-00-373_com.twitter.android.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kupongweza kwa kuwaskiliza wamagharibi huku nchi yake ikigeuzwa vifusi, endeleeni kujichekesha huku mkijitekenya wenyewe, babu yenu mkuu wa umoja wa mataifa kaenda Moscow kuomba Urusi astopishe kichapo huku akilia kwahio nyinyi mnajua zaidi kuliko wao [emoji16][emoji23][emoji23] sawaaaa
Saw ila tuna uliza kuhusu ule masafala.afu hata south Korea ilachwa majibu now ipo wap?
 
Ila Zelensky kaishushia sana hadhi na sifa taifa la Russia nina amini leo hii hakuna tena jirani anayemuofia Russia kama ilivyokuwa mwanzo kabla ya hii vita
Wengi waliiona Urusi kama dubwana fulani kubwa hivii
 
Sasa putin na NATO nani mwanaume.

Nato ni kikundi cha malaya walijiunga pamoja kwa uoga dhidi ya mwanamme Russia
Marekani pekee tu ana nguvu kuliko huyo mrusi Na nato wana mtegemea saana marekani
 
Kuna KITU Cha kujifunza Kwa Rais wa Ukraine. Mwanzoni mwa uvamizi wa Russia nchini Ukraine, niliona Jeshi kubwa ambalo Kwa mategemeo yangu niliona kabisa mwisho wa zelensky na Ukraine.

Hata pale alipo wahamasisha wananchi kutoogopa niliona kabisa kwamba jamaa anajidanganya. Wote tulishuhudia ule msafara wa zaidi ya km 50 wa jeshi la Russia ukielekea Kyiv Kwa lengo la kuichaza kabisa. Lakini wote hatujui ule msafara uliisjia wapi.

Kile KITU kinanikumbusha msafara wa jeshi la pharaoh Kwa wa Israel lakini ukaishia kuzamishwa ndani ya bahari. Hakika ujasiri wa zelensky unatupa haya matokeo.

Huyu mtu ni wakupongezwa kabisa hata kama sisi ni pro Putin tujifunze KITU hapa. Ndugu zangu Siri ya mafanikio Iko Kwenye ujasiri
Mkuu kiukweli ata Marekani alikuwa hajui uwezo wa Russia naamini na yeye alijuwa Russia ni zaidi ya hata yeye Mmarekani lakini ujanja alioufanya Marekani ni kuhakikisha Russia anaingia kwenye vita na Ukraine na baada ya ile vita kuendelea hivi tunavyoiyona tayari Marekani amepata majibu 100% kujua uwezo wa Russia kikamilifu

Utakumbuka wakati vita inaanza marekani walimtumia ujumbe Zelensky rais wa Ukraine kwamba waende wakamuokoe lakini Zelensky alikataa nadhan kauli ile Marekani wanaijutia saivi baada ya kugundua madhaifu ya puttin

Hata Putini alivyozionya nchi za marekani na ulaya kuisadia ukraine pia kulikuwa na hofu na marekani waliganda kidogo kujibu lakini hatimae wakapata jibu Russia hana mpango wowote na ndio mana yule Waziri wa ulinzi wa Marekani akajibu kwa mbwembwe zote kwamba "Tutaisaidia ukraine duniani na mbinguni mpaka pale mipaka yao itakapokuwa salama"

Lakini vile vile Sweden na Finland wakati operation inaanza pia nao walikuwa na hofu na walifika kusema wao hawatajiunga na NATO kwa kuhofia machafuko na wananchi wao na walionywa na putin kama wakijiunga na NATO basi yatawakuta kama ya Ukraine lakini angalia baada ya kufanyika tathmini ya vita ya Ukraine na Russia muda mfupi tu Mrusi aliovamia wameona kumbe Russia hatishi wala hana ubavu wowote hizi nchi sasa juzi wamebadilisha msimamo na wakasema wanaitaka NATO kama maji ya kunywa na ikifika mwezi June mwaka huu makubaliano yataanza rasmi kujiunga na NATO.

Na Marekani wanawachochea kweli kweli wamewambia Sweden na Finland kwamba muda wa kujiunga na NATO ni sasa hakuna muda mwengine kwamba huyu jamaa tumeshamdhoofisha na akijaribu kukuruka basi ni kama kuangusha popo tu.

Ujerumani wamemjibu Putin kwamba wewe unatuonya tusiisaidie Ukraine silaha basi fahamu kwamba sio tu kwamba tunawapa silaha lakini fahamu kwamba tuna majeshi yetu ndani ya Ukraine yanatoa mafunzo ya kijeshi ndani ya Ukraine.

Biden juzi kamwambia Putin kwamba sababu ya wewe kushindwa Kyiv na kufurushwa ukarudi zako Donbas ni sisi Marekani ndio tuliokupa adabu ile.

Hadi naandika majibu haya tayari Putin ameyapata na hajafanya chochote wala hawezi, Congress wamepitisha azimio rasmi la kuwapa silaha Ukraine na mitambo ya kuangusha ndege rasmi., mbali fedha nyingi sana ambazo Spika wa bunge la Marekani alizowaahidi Ukraine juzi alipotembelea
 
Mkuu tena hawa Wanaume wa Dar Pro Putin ndiyo wanashangaza sana,yani Panya Road wamewalaza saa tatu usiku,halafu wana guts za kumkejeli mwanaume wa shoka anaepambana kulinda himaya yake.Kuna mmoja tunafahamiana in person jana nilimwambia nitashangaa sana kukuona unamkejeli Zelensiky baada ya kusimulia alichokumbana nacho Kunduchi kwa panya Road.Namsubiria hapa aweke comment yake,naona bado ana wenge la Panya Road [emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ona sasa, Putin hadi ameamsha makali ya saratani na nani ajuaye kwamba akitoka kwenye upasuaji atapona.
hii timing ya saratani inashangaza. au alikuwa nayo akifanya siri? basi huyo Comedian ameshinda maana mpaka saratani zimeamka 😎
 
Kweli,lakini angelitafuta njia nyengine ya kuilinda nchi na watu wake sio kwa staili hii..

mashariki ya Ukraine yote iko chini ya Urusi,Bahari ya black sea yote sasa iko chini ya Urusi isipokuwa Crimea tu,Na huo mji wa Crimea mwanamme kaanza kushambulia kwa long range rocket..

Zelensiky imekuwa kwake,..
Baada ya week mbili nitakutafuta unipe tena update
 
Back
Top Bottom