Nimejifunza mengi kutoka kwenu, lakini bado nahitaji ushauri

Nimejifunza mengi kutoka kwenu, lakini bado nahitaji ushauri

Ligi inaendelea na msimamo ni ule ule

Wanamke bhana nyie mlikuja na statement mnajimwambafai 50/50
Mara haki sawa ooh dawati la jinsia

Ngoja tuwanyoshe akili zikae sawa

Sasa hivi hakuna bembeleza demu akizingua mbususu ni nyingi mno piga chini
Mwanaume amini nakwambia hata ukifa leo huwezi zikwa kichwa ikiwa imo

Nikuwashona tu
 
Hello jf members,
Ilibaki kidogo tu nijiengue ndani ya jf baada ya kupondwa na wengi kuhusu tatizo langu lililousumbua moyo wangu, lakini ntafanya nini, sikuwa na mtu wa kumlilia, ndo maana niliamua kuanika dukuduku la moyo wangu kwenu nikiamini ningepata kutiwa moyo, lakini ilikuwa tofauti
Usikute huyu kidume tu fresh kimejibanza pahali kinagonga VANT taratiiib huku kinasubiria nyama choma kikamgegede mtu! LIFE BLUNTLY INSANITY
 
Mtaji unao ila umeukalia, alisikika mkware mmoja akisema.
 
Hello jf members,
Ilibaki kidogo tu nijiengue ndani ya jf baada ya kupondwa na wengi kuhusu tatizo langu lililousumbua moyo wangu, lakini ntafanya nini, sikuwa na mtu wa kumlilia, ndo maana niliamua kuanika dukuduku la moyo wangu kwenu nikiamini ningepata kutiwa moyo, lakini ilikuwa tofauti

kuhofia kupoteza kazi, kisha nimkabidhi penzi, aumize moyo wangu, nirudi kwenu kulia, mnishushue tena



NB: Samahani kwa mwandiko wangu mbovu
Shukrani kwa kukubali kujifunza vitu kutoka kwetu ni wanawake wachache ambao upenda kujifunza wengi wao wanapenda kuwa na akili vile vile nimeipenda namna ulivyoandika na namna ulivyojieleza ili nikusaidie kwa huo mtaji wa laki 1 ningependa nijue unatokea mkoa upi? ilinijue nakusaidia vipi
 
Vile nafuatilia stori ya Rosemary kwa ukaribu😁😁😁
EW598.jpeg
 
Yaani uanzishe biashara ili kuepuka wanaume.!??... hao wateja hawatakutongoza.!??... Hio mizigo utakuwa unanunua kwa madada pekee.!??...

Sababu yako ya kuanza biashara haina Mashiko,,, sitegemei kama biashara itastawi...

Kwa Laki moja,,, Kanunue KUKU shekilango,,, wakaange,,, kawauze kwa MWAMPOSA siku ya ibada..,,,au kachukue Dagaa Ferry uje uwauze mtaani kwa mafungu...

Usikurupuke,,, tuliza Akili....
Na ukitaka hela ya Mwanaume tena,,..epuka kutaka mzigo upewe bei cheee au mikopo,,, ,kutaka hela za haraka,safari za bodaboda za mikopo,, ...tofauti na hivyo BASI MWENDO NI ULEULE.... UTATIWA TU,,, so hujatuepuka kwa 100%,,,tuepuke kuanzia kichwani mwako(Msimamo na Jifunze kujitegemea) .. sio Maneno maneno..

Barikiwa
Kijana kichwani upo vizuri sana umempa ushauri wa maana Tena wa bure kabisa bila kulipiwa pesa nimependa ulivyomwambia uwaepuke Wanaume kichwani
 
Kwa akili hizo kuwa makini sana ata kwenye biashara yako unawezajikuta unaliwa/wanakununua wewe pamoja na bidhaa zako maana inaonekana hauna msimamo unapokuwa na shida.

Anza kujitibu kutokujiamin na kujithamini utu wako hasa wakati wa shida
 
Kuacha kazi ni long plan kaka, sina imani na wenzangu, ukizingatia wengi ni wakina dada kama mimi, unafiki unakuwa mwingi, masimango na kejeli, ukizingatia wenyewe wana vyeo kunizidi

Wivu tu kwa kweli
Naelewa ni nini unazungumza ila ndugu kwa kizazi chetu hiki leo unafiki umekuwa mwingi si kwa ke wala me hivyo , jikaze endelea kufanya kazi jikusanye zaidi huku ukiwa unaanzisha biashara binafsi , usikurupike , maana utakuja kujuta .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Ila we dada unaonekana mkorofi niamini mm...sa kwann uache kazi kisa mtu kraka uende akakusasambue mbususu...fanya kazi bhna achana na maneno ya watu.

Biashara zina changamoto sana hasa ukiwa huna plan b,usje pata hasara ukarudi kuwa omba omba,ila kama una uzoefu basi fanya kazi ukusanye mtaji wa kutosha then idea za biashara mbona ziko nyingi tu..!!!
 
Nikisoma mabandiko ya Rose sioni haiba ya kike kabisa, Pengine na-overthink ila mwandiko wa kike unajulikana hata ukiwa mbali na usawa wa bahari..!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba unakuwa ni mwandiko wa kulala au!
 
Hello JF members,

Ilibaki kidogo tu nijiengue ndani ya JF baada ya kupondwa na wengi kuhusu tatizo langu lililousumbua moyo wangu, lakini ntafanya nini, sikuwa na mtu wa kumlilia, ndo maana niliamua kuanika dukuduku la moyo wangu kwenu nikiamini ningepata kutiwa moyo, lakini ilikuwa tofauti

Labda utoto still unanisumbua, ni mgeni katika mapenzi, mwanaume pekee ambaye hajaumiza moyo wangu ni aliyenifunza mapenzi, tuliachana kwa amani pasipo maumivu yoyote yale na kwa sababu maalumu

Kwamba pesa ya mwanaume hailiwi bure [emoji3][emoji3] Nalijua hilo, lakini sijui niwaeleze vipi kumhusu huyu mwanaume ili muone kuwa mimi ni mwenye haki


MSAADA NINAO UHITAJI KUTOKA KWENU
Kwa sasa sitaki kutegemea tena pesa za mwanaume yeyote yule, hata za boss wangu (mshahara) sizihitaji tena maake inaelekea atakuja tu kunitaka kimapenzi nikose cha kufanya kwa kuhofia kupoteza kazi, kisha nimkabidhi penzi, aumize moyo wangu, nirudi kwenu kulia, mnishushue tena

Kwa kiasi hiki cha laki moja nilichonacho mkononi sasa hivi, natamani kukifanya mtaji kiasi kwamba hata kesho nianze biashara yangu mwenyewe nikiwa huru, niachane na mambo ya ku supply bidhaa za watu, una drive gari zao wanaishia kukusimanga kuwa pesa za mafuta unakula, mara unachelewesha mizigo, at the end taarifa zinafika kwa boss, badala atake action utamsikia anakwambia "tulia Rose, achana na maneno ya watu" mwanaume hajawahi kuwa mwema kiasi hiki, kuna kitu anakitafuta kwangu, na ni mume wa wake watatu, anakesha club nnavyosikia, siku nyingine anakuja ananukia k vant

Hivyo itapendeza kama mtanishauri biashara ya kufanya kwenye hili jiji la watu kwa kiasi hicho cha laki ili nitengeneze pesa zangu, niishi maisha yangu mwenyewe

Pindi ntakapopokea mshahara tarehe 8 July ntatenga kiasi cha laki mbili ili nifungue biashara nyingine, au nikuze biashara mtakayonishauri kufanya

Sintojari status yangu mtaani, urembo ntatupa kule, aibu nitaitoa machoni mwangu ili mradi najua ninachokitafuta ni kipi, malengo yangu ni yapi

Please, nahitaji ushauri wenu

NB: Samahani kwa mwandiko wangu mbovu
Kama uko serious na kazi ya kujiajiri binafsi nicheki
 
Back
Top Bottom