Nimejifunza mengi kutoka kwenu, lakini bado nahitaji ushauri

Nimejifunza mengi kutoka kwenu, lakini bado nahitaji ushauri

nambie basi nifanye biashara ipi kaka yangu ambayo itanilipa
Nakukaribisha home kwangu tuje kuchambua biashara inayokufaa.
Nina idea za biashara zaidi ya 20 naamini utafurahia idea halikadhalika na mm mwenyewe pia utanifurahia.

Karibu PM kama hutojali.
 
Endelea kufanya kazi acha ujinga , kuliwa na wanaume tu , you can't fight with nature as long as umekuwa mtu mzima na una via vya uzazi you should understand this kuliwa utaliwa tu iwe Kwa matakwa Yako binafsi au Kwa kurubuniwa

Unachotakiwa kufanya ni kujitahidi tu kupunguza mazingira ya kuliwa liwa hovyo na Wanaume tofauti, lakini usijichanganye kuwa unaweza kuishi bila kuliwa .. hata huko unapo taka kwenda kufanya biashara lazima utakutana na hayo hayo mazingira ya wanaume kutaka kuku kula ,

Ushauri wangu ni kwamba Kwa huo mtaji wako wa 100k usijidanganye kwamba unaweza kuanza biashara ukaifanya na ukatoboa kimaisha ni uongo achana na simulizi za motivation speaker,
 
Sikushauri kuacha kazi ila jifunze kureserve some amount per each month ili uwe una mtaji mkubwa maana capital ikiwa kubwa ata faida itakuw kubwa piah
Hello JF members,

Ilibaki kidogo tu nijiengue ndani ya JF baada ya kupondwa na wengi kuhusu tatizo langu lililousumbua moyo wangu, lakini
 
Mkuu mzabzab ni kweli haya yasemwayo? Maake kuna comment yako post fulani hivi ya huyu binti ulisema pesa ya mwanaume haiendi bure! Ukajaa na sumu kabisa! Imekuaje tena mkuu wetu?

Au Rosemary 255 njoo hapa kwanza utupe uzoefu!
Mkuu uchochezi huo ujue 🤣🤣🤣🤣!!
Inategemea possibly yupo kwenye hao wachache labda hebu uwaache Zabzab na mrembo wake pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!😉😉 Nimeongea tu kwa uzoefu wangu mdogo
 
Eti mzabzab unaelewa ni kwanini Antonnia amekusemea na kukutetea?

Hapo akili kumkichwa, ndo maana PM ikawepo!
[emoji23][emoji23]Natania tu!
Hahahaaaaaaaa humu mie n🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 kitamboooo,!
🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Hello JF members,

Ilibaki kidogo tu nijiengue ndani ya JF baada ya kupondwa na wengi kuhusu tatizo langu lililousumbua moyo wangu, lakini ntafanya nini, sikuwa na mtu wa kumlilia, ndo maana niliamua kuanika dukuduku la moyo wangu kwenu nikiamini ningepata kutiwa moyo, lakini ilikuwa tofauti

Labda utoto still unanisumbua, ni mgeni katika mapenzi, mwanaume pekee ambaye hajaumiza moyo wangu ni aliyenifunza mapenzi, tuliachana kwa amani pasipo maumivu yoyote yale na kwa sababu maalumu

Kwamba pesa ya mwanaume hailiwi bure [emoji3][emoji3] Nalijua hilo, lakini sijui niwaeleze vipi kumhusu huyu mwanaume ili muone kuwa mimi ni mwenye haki


MSAADA NINAO UHITAJI KUTOKA KWENU
Kwa sasa sitaki kutegemea tena pesa za mwanaume yeyote yule, hata za boss wangu (mshahara) sizihitaji tena maake inaelekea atakuja tu kunitaka kimapenzi nikose cha kufanya kwa kuhofia kupoteza kazi, kisha nimkabidhi penzi, aumize moyo wangu, nirudi kwenu kulia, mnishushue tena

Kwa kiasi hiki cha laki moja nilichonacho mkononi sasa hivi, natamani kukifanya mtaji kiasi kwamba hata kesho nianze biashara yangu mwenyewe nikiwa huru, niachane na mambo ya ku supply bidhaa za watu, una drive gari zao wanaishia kukusimanga kuwa pesa za mafuta unakula, mara unachelewesha mizigo, at the end taarifa zinafika kwa boss, badala atake action utamsikia anakwambia "tulia Rose, achana na maneno ya watu" mwanaume hajawahi kuwa mwema kiasi hiki, kuna kitu anakitafuta kwangu, na ni mume wa wake watatu, anakesha club nnavyosikia, siku nyingine anakuja ananukia k vant

Hivyo itapendeza kama mtanishauri biashara ya kufanya kwenye hili jiji la watu kwa kiasi hicho cha laki ili nitengeneze pesa zangu, niishi maisha yangu mwenyewe

Pindi ntakapopokea mshahara tarehe 8 July ntatenga kiasi cha laki mbili ili nifungue biashara nyingine, au nikuze biashara mtakayonishauri kufanya

Sintojari status yangu mtaani, urembo ntatupa kule, aibu nitaitoa machoni mwangu ili mradi najua ninachokitafuta ni kipi, malengo yangu ni yapi

Please, nahitaji ushauri wenu

NB: Samahani kwa mwandiko wangu mbovu
Naomba kunakili posti ya dada mmoja kwenye uzi fulani jina nilisahau pengine utapata kitu.

All in all katika huu uzi Kuna kitu nimekigundua ambacho nilikuwa sijui, tega sikio

"Ni hivi yaan mwanaume ili asurvive anahitaji sana MAKU, hii kitu ni dhahabu kama sio tanzanite tumebarikiwa wanawake sema hatujui tu[emoji848]

Sasa basi nashauri hivi wanawake wenzangu tufanye kazi kwa bidii tupate hela tujitegemee, uzuri tumeumbwa hatunaga nyegee kama za wenzetu, sasa ni mwendo wa kuwanyima maku mpaka wabake kuku na mbuzi wakikamatwa wafungwe wakitoka jela watatuheshimu sana

Narudia mwanaume bila maku haishi "
 
Kuacha kazi ni long plan kaka, sina imani na wenzangu, ukizingatia wengi ni wakina dada kama mimi, unafiki unakuwa mwingi, masimango na kejeli, ukizingatia wenyewe wana vyeo kunizidi

Wivu tu kwa kweli
Inaonekana wewe ni mrembo sana.
 
Back
Top Bottom