Nimejifunza mengi kutoka kwenu, lakini bado nahitaji ushauri

Nimejifunza mengi kutoka kwenu, lakini bado nahitaji ushauri

Hahahaaaaaaaa humu mie n[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] kitamboooo,!
[emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214]
@Antonnia na ww unanichanganya aisee mara @Mahondaw,ss hivi tena Antonnia mhh
 
Njoo nikukodishie sehemu ya Mgahawa utalipia buku kil siku kwa mtaji wa laki moja kama una vyombo inatosha kabisa
 
We dada piga kazi, kuishi maisha ya kusumbuliwa au kutokusumbuliwa na wanaume ni ngumu sana kwenye ulimwengu wa sasa kikubwa ni kujitambua nn unafanya
 
Mkuu nadhani ni kama niko sahihi

Mimi hiyo phase ndio kama inaisha hivi nimekamata grip kwa mbali😃😃

Ila sasa kwa huyu manzi naona ndio anavurugikza zaidi akifikiria swala la kuliwa
 
Back
Top Bottom