United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Eti nitafanya biashara yoyote bila kujali status hay njoo uze juice ya matunda na ubwabwa kkoo Kam wezako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaacha kazi kwa sababu ya majungu?. You can't be serious, hujui kila kwenye riziki hapakosi fitna za wanadamu?. Be strong c'mon. ACHA KAZI KWA SABABU MALENGO YAKO YAMETIMIA NOT OTHERWISE.Kuacha kazi ni long plan kaka, sina imani na wenzangu, ukizingatia wengi ni wakina dada kama mimi, unafiki unakuwa mwingi, masimango na kejeli, ukizingatia wenyewe wana vyeo kunizidi
Wivu tu kwa kweli
Antonnia acha kufariji,,,,,, wenye huo moyo Hawapo kabisa,,, Kikao chetu pale Buguruni Malapa hakuna aliyenyoosha kidole kwenye hilo....Trust me!! In one way or the other lazima ilipwe!! 🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️
Wachache sana wenye huo moyo ysni wachache mnooooo
Dunia imeharibika,,, Wala usiwe na shaka Bidada...yaache yajazane humo piemu kama 'makodoo'..!!
Kuna wachache watasema wapo eti wacha tuwaachie a very small percent! Majority ni utalipa tu no way!Antonnia acha kufariji,,,,,, wenye huo moyo Hawapo kabisa,,, Kikao chetu pale Buguruni Malapa hakuna aliyenyoosha kidole kwenye hilo....
Hivyo One day one time,, in a one way or the other,, somewhere and somehow,,, ATAILIPIA tu...
Kuna mwamadada alinikuta kwangu niko mlangoni najiwazia maisha, akanambia nimsaidie 5k akamhudumie mwanae! Nikampa nikachukua na namba yake ya simu nikam beep! Baada ya wiki moja nikawa nafuta spam contacts kwenye simu, nikafuta na namba yake kwa makusudi! issue ya mbususu ikawa imeishia hapo!Kuna wachache watasema wapo eti wacha tuwaachie a very small percent! Majority ni utalipa tu no way!
Kuna mwamadada alinikuta kwangu niko mlangoni najiwazia maisha, akanambia nimsaidie 5k akamhudumie mwanae! Nikampa nikachukua na namba yake ya simu nikam beep! Baada ya wiki moja nikawa nafuta spam contacts kwenye simu, nikafuta na namba yake kwa makusudi! issue ya mbususu ikawa imeishia hapo!
Lakini baada ya wiki mbili kupita, demu alinipigia na kujitambulisha kwangu kisha kunambia alikuwa ananijulia hali tu!
[emoji23][emoji23]ila nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba unakuwa ni mwandiko wa kulala au!
sijapenda maneno yako kakaNa mimi nimewaza kama wewe. Anamuandiko wa kijana wa kiume ambae anatafuta attention kwenye nyuzi zake.
Naungana na wewe hii ID ya kidume na kuna watu wanavutwa waende pm kuimbisha
[emoji23][emoji23]jamani, we kaka mkorofi sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wanaoneana wivu, hataki mwenzie kuona anapewa kipaumbele! Nimeanza kuamini maneno ya Rosemary
Kidogo kauli hii ya Carleen inatia shaka, anaona mwenzie atafanikiwa saaana!
[emoji23][emoji23] Natania bhana! Ngoja niifute hii reply!
[emoji23][emoji23]mle mle tuNakukaribisha home kwangu tuje kuchambua biashara inayokufaa.
Nina idea za biashara zaidi ya 20 naamini utafurahia idea halikadhalika na mm mwenyewe pia utanifurahia.
Karibu PM kama hutojali.
Labda nikupe connection ya mdada mmoja anakaa pale uwanja wa fisi Manzese barabara ya Tandale! Utapiga pesa mpaka ukome!Kidogo naanza kurecover na hali iliyonisumbua, naombeni ushauri nifanye biashara ipi ili nijikeep busy na maisha yangu
napenda biashara ya kuondoka asubuhi nyumbani nirudi jioni, nisikelembeshwe na mtu
Sii ukakaange kukuKidogo naanza kurecover na hali iliyonisumbua, naombeni ushauri nifanye biashara ipi ili nijikeep busy na maisha yangu
napenda biashara ya kuondoka asubuhi nyumbani nirudi jioni, nisikelembeshwe na mtu
Tigo siku hizi unapata kwa buku 20 tuuNyuchi ni kitu rahisi San kuptkn Kwa sehem za town kuriko hat buk mbili Kun option nying San za kupta hiyo kitu usijidanganye ukibana wew wezako wanatanua tu
[emoji23]Sii ukakaange kuku
Kama anataka kazinaje nimpe bodaboda apige mishe kwa siku hakosi buku kumi[emoji23]
Mkuu, moshi wa kuku unaweza kuipoteza rangi yake ya asili akawa black Ninja! Mshauri biashara fulani amaizing amaizing!
Mkuu nitakupigia no yako ninayo [emoji3]Kama uko serious na kazi ya kujiajiri binafsi nicheki