Nimejifunza mengi kutoka kwenu, lakini bado nahitaji ushauri

Ligi inaendelea na msimamo ni ule ule

Wanamke bhana nyie mlikuja na statement mnajimwambafai 50/50
Mara haki sawa ooh dawati la jinsia

Ngoja tuwanyoshe akili zikae sawa

Sasa hivi hakuna bembeleza demu akizingua mbususu ni nyingi mno piga chini
Mwanaume amini nakwambia hata ukifa leo huwezi zikwa kichwa ikiwa imo

Nikuwashona tu
 
Usikute huyu kidume tu fresh kimejibanza pahali kinagonga VANT taratiiib huku kinasubiria nyama choma kikamgegede mtu! LIFE BLUNTLY INSANITY
 
Mtaji unao ila umeukalia, alisikika mkware mmoja akisema.
 
Shukrani kwa kukubali kujifunza vitu kutoka kwetu ni wanawake wachache ambao upenda kujifunza wengi wao wanapenda kuwa na akili vile vile nimeipenda namna ulivyoandika na namna ulivyojieleza ili nikusaidie kwa huo mtaji wa laki 1 ningependa nijue unatokea mkoa upi? ilinijue nakusaidia vipi
 
Kijana kichwani upo vizuri sana umempa ushauri wa maana Tena wa bure kabisa bila kulipiwa pesa nimependa ulivyomwambia uwaepuke Wanaume kichwani
 
Kwa akili hizo kuwa makini sana ata kwenye biashara yako unawezajikuta unaliwa/wanakununua wewe pamoja na bidhaa zako maana inaonekana hauna msimamo unapokuwa na shida.

Anza kujitibu kutokujiamin na kujithamini utu wako hasa wakati wa shida
 
Kuacha kazi ni long plan kaka, sina imani na wenzangu, ukizingatia wengi ni wakina dada kama mimi, unafiki unakuwa mwingi, masimango na kejeli, ukizingatia wenyewe wana vyeo kunizidi

Wivu tu kwa kweli
Naelewa ni nini unazungumza ila ndugu kwa kizazi chetu hiki leo unafiki umekuwa mwingi si kwa ke wala me hivyo , jikaze endelea kufanya kazi jikusanye zaidi huku ukiwa unaanzisha biashara binafsi , usikurupike , maana utakuja kujuta .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Ila we dada unaonekana mkorofi niamini mm...sa kwann uache kazi kisa mtu kraka uende akakusasambue mbususu...fanya kazi bhna achana na maneno ya watu.

Biashara zina changamoto sana hasa ukiwa huna plan b,usje pata hasara ukarudi kuwa omba omba,ila kama una uzoefu basi fanya kazi ukusanye mtaji wa kutosha then idea za biashara mbona ziko nyingi tu..!!!
 
Nikisoma mabandiko ya Rose sioni haiba ya kike kabisa, Pengine na-overthink ila mwandiko wa kike unajulikana hata ukiwa mbali na usawa wa bahari..!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba unakuwa ni mwandiko wa kulala au!
 
Kama uko serious na kazi ya kujiajiri binafsi nicheki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…