Nimejifunza pakubwa kuhusu elimu ya fedha baada ya jamaa yangu kuchukua mkopo wa Milioni 10 kazini kwake ili anunue gari

Kasome tena. hivi unaijua thamani ya fedha au Time value of money? shilingi ya leo si ya jana mkuu. Tuache kulalamika vitu ambavyo vipo wazi. Hivi shilingi uliyokopa leo thamani yake au vitu inavyoweza kununua ni hivihivi miaka mitano ijayo?
 
Kasome tena. hivi unaijua thamani ya fedha au Time value of money? shilingi ya leo si ya jana mkuu. Tuache kulalamika vitu ambavyo vipo wazi. Hivi shilingi uliyokopa leo thamani yake au vitu inavyoweza kununua ni hivihivi miaka mitano ijayo?
Soma vizuri upya mkuu, uelewe ninachozungumzia, au nawe ni muhanga wa mikopo?😄😄 pole komaa kulipa ni sehemu ya maishs
 
Bila kukopa Dangote asingejenga kiwanda cha Cement Mtwara
Watu wengi wanajidanganya eti huwezi kuendelea bila kukopa. Kimsingi unakopa ili uzalishe uweze kulipa riba na wewe kubaki na faida.

So kabla ya kukopa piga hesabu. Riba ni shs ngapi kwa mwezi? Je utapata faida ya kiasi gani kwa mwezi? Je faida ni kubwa kuliko riba?

Kama faida ni kubwa kuliko riba unaweza kukopa.

Sasa tatizo la watu wengi wanakopa wanaenda kutumia mikopo kwenye vitu visivyo zalisha kama kununua gari au kujenga nyumba.
 
Mwisho wa point yangu ndipo palipokuwa na hoja yangu
 
Kusema kweli kwa mshahara wa watumishi wa kawaida gari ni gharama maana kimsingi ni liability na si asset.
Inahitaji matengenezo, mafuta, bima hapo sometimes hujadaiwa parking na rushwa kwa wazee wa barabarani.
Lakini pia gari inaweza kuwa asset. Sisi wazee wa mtaa, unaitwa kwenye deal unaenda kukutana na tajiri anaanza kukuzoom toka unaingia. Akiona umechoka anaweza kukunyima hata huo mchongo.
Lakini ukienda unafika pale uko safi, una usafiri, basi anajua huyu huu mchongo atauweza na amezoea kushika pesa ndiyo maana ameweza kuafford na usafiri.
So sometimes unamiliki chombo kama kuongeza tu thamani yako ili kikupe miamala zaidi.
 
Sio degre holder
degree si shida degree ya pharmacy huwezi fananisha na degree ya mtu wa account fieldya fedha ni sawa na field ya health account hajui kitu naye mpharmasia anashangaa hujui hii,,,, shida haianzii hapo isitoshe kuna baadhi ya degree holder hawajui hata UTT ni nn na ni field za business na accounting,,, vitu vingine vinahitaji uwezo binafsi kufatilia mambo hzo lbl sijui kuzijua ni rahisi sababu ya nguvu kubwa wanaotumia washawishi watu wenye akili fup, wavivu kufanya kazi na wanaopenda mitelezo walainike
 
Tumia akili anachosema jamaa anakielewa ww umekalili Time value of Money hajasema bank wapunguze au wasiweke riba anajaribu toa elimu juu ya namna bora ya kuweka maisha kuepuka vitu visivyo na msingi hio time value of money na gari ulonunua mbna hujasema lina depreciation 😂 acha kukalili vitu
Kasome tena. hivi unaijua thamani ya fedha au Time value of money? shilingi ya leo si ya jana mkuu. Tuache kulalamika vitu ambavyo vipo wazi. Hivi shilingi uliyokopa leo thamani yake au vitu inavyoweza kununua ni hivihivi miaka mitano ijayo?
 
Amewaonyesha kuwa ana gari. Gari limepaki chini ya mwarobaini shuleni, kila mtu anajua la nani...dadeeki wanafunzi walionywa wasicheze karibu ni gari la sivyo wangeona cha mtema kuni 😀 roho yake kwaaatu. Hayo mengine mtajua ninyi kwani kawafuta kuwaomba hela
 
Bado mtoto wewe utajaa tu kwenye mfumo
 
Alieshauri ni rafiko ake maana hata mwalimu anajutia hv vitu huwez elewa usipokua navyo ukiwa na jicho au upande wa wanafunzi
 
Kuishi maisha ya hali juu kuliko kipato ni janga kinalotusumbua wengi.

Ukiweza kuishi ndani ya kipato chako hautawezi kusumbuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…