Nimejifunza wazazi hawaachani

Nimejifunza wazazi hawaachani

Kiatu cha udongo

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2022
Posts
443
Reaction score
1,155
Nimekubali wazaz hawaachani enyi vijana tusijidanganye tukaoa single mama
---

1686586250964.png

Huyu ni mlinzi wa klabu ya Real Madrid, Eder Militao akiwa na mpenzi wake wa zamani, Karoline wakifurahia kumbukumbu ya kuzaliwa ya mtoto wao wa kike.

Wewe unaweza kukutana na EX wako kwa tukio kama hili?
 
Nimekubali wazaz hawaachaniView attachment 2655016
Wanaachana vizuri sana nishawah na rafiki mkewe alimkimbia akamwachia mtoto akiwa na miez 6 tu had leo binti ana miaka 14 hatujawah muona yule dada na hatujui yupo wapi....

Na dada yng aliolewa akiwa kwny ndoa mumewe akaanza umalaya akakimbia nyumba kabisa mtoto akiwa na mwaka tu hajawah rudi mtoto hata hajui baba ake yupoje had leo
 
Wanaachana vizuri sana nishawah na rafiki mkewe alimkimbia akamwachia mtoto akiwa na miez 6 tu had leo binti ana miaka 14 hatujawah muona yule dada na hatujui yupo wapi....

Na dada yng aliolewa akiwa kwny ndoa mumewe akaanza umalaya akakimbia nyumba kabisa mtoto akiwa na mwaka tu hajawah rudi mtoto hata hajui baba ake yupoje had leo
Very rare cases
 
Wanaachana vizuri sana nishawah na rafiki mkewe alimkimbia akamwachia mtoto akiwa na miez 6 tu had leo binti ana miaka 14 hatujawah muona yule dada na hatujui yupo wapi....

Na dada yng aliolewa akiwa kwny ndoa mumewe akaanza umalaya akakimbia nyumba kabisa mtoto akiwa na mwaka tu hajawah rudi mtoto hata hajui baba ake yupoje had leo

Nafikir labda haujamuelewa ishu iko hv...yn inapotokea wakawa pamoja either kwa kutimiza majukumu ya mtto au kwa shughuli nyingne lazima watakumbusha enzi tu....
 
Ukisikia kupasha kiporo ndio hiyo. Hata kama waliparangana wakaachana na kupeana talaka ipo siku hasira zao zitaisha wakikutana watapeana mapenzi mazito. We uliooa single mother unatakiwa kufahamu umeoa mke wa mtu, vumilia siku ukiona jamaa anatuma matumizi kwa mtoto wake ujue huyo mama atapokea na akiombwa shoo atatoa bila kinyongo. Hutaweza kumbana asikutane na msela wake wa zamani kwa ajili ya watoto wao. Ukute jamaa anakata mpunga mrefu kuliko wewe utateseka sana, kama vipi vunga huoni na husikii ili uendelee kuishi na huyo single mother
 
Ukisikia kupasha kiporo ndio hiyo. Hata kama waliparangana wakaachana na kupeana talaka ipo siku hasira zao zitaisha wakikutana watapeana mapenzi mazito. We uliooa single mother unatakiwa kufahamu umeoa mke wa mtu, vumilia siku ukiona jamaa anatuma matumizi kwa mtoto wake ujue huyo mama atapokea na akiombwa shoo atatoa bila kinyongo. Hutaweza kumbana asikutane na msela wake wa zamani kwa ajili ya watoto wao. Ukute jamaa anakata mpunga mrefu kuliko wewe utateseka sana, kama vipi vunga huoni na husikii ili uendelee kuishi na huyo single mother
Aisee..
 
Pia kuna uwezokano wa kubeba mimba kwa ex husband wake kisha akaja kuzalia kwako wewe new husband ukaendelea kulea watoto wasio wako. Bora kuoa mjane hakuna stress. Single mother ni wa kuwapatia uzao tu kuishi nao ni shughuli pevu kama si watulivu kwa mume mmoja
 
Wanaachana vizuri sana nishawah na rafiki mkewe alimkimbia akamwachia mtoto akiwa na miez 6 tu had leo binti ana miaka 14 hatujawah muona yule dada na hatujui yupo wapi....

Na dada yng aliolewa akiwa kwny ndoa mumewe akaanza umalaya akakimbia nyumba kabisa mtoto akiwa na mwaka tu hajawah rudi mtoto hata hajui baba ake yupoje had leo
Tunaongelea ile mawasiliano yapo baina yao na mtoto anahudumiwa kama kawaida

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom