Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naanza kama sijakutaja si kwamba sikupendi ila tecno yangu ni hasara tupu:
Asprin, Kaka Kiiza, Lizzy afrodenzi Teamo Fidel80 Baba Enock Fixed Point Mzee wa Rula Preta paka Jimmy Dark City wise Lady MwanajamiiOne, RR aka Roya Roya Kimey The Finest Rutashubanyuma Maty Nyamayao Nyani Ngabu Rose 1980 [MENTION=11167]Bishanga Rejao Ritz faiza Foxy [/MENTION] Mzee mwenyewe Kaizer Chauro HusninyoEnnie Mr Rocky aka my Huby wengi mno wengine nitawataja kesho tunamalizia Idd kesho kazi msijisahau wapendwa eeh. NIMEWAMISS SANA WAPENZI WA MTIMA WANGU
Tulikumiss pia.........
yaani kila nikimwona Baba_Enock huwa nakukumbuka......
Long tym sana wangu........nini shida......? Hata wewe umepotea sana bana......
Umepotea pia dada nani amekuficha
Hawa siku hizi wanaonekana kwa nadra sana ndani ya hili jukwaa na tumemiss changamoto zao na thread zao nzuri na michango yao kuliboresha jukwaa letu mko wapi aise Lizzy, Lily Flower, Preta, Husninyo, Blaki Womani, gfsonwin, Smile, sweetlady, snowhite, Zion Daughter, King'asti, Chauro, Chocs, mwallu, Angel Nylon, The secretary, Asprin, Bishanga wa bashaija, Erickb52, Baba V mvunja ndoa za watu, Arushaone king mswati wetu, Vin Diesel mzee wa penda penda, Fixed Point, Mkirua, The Finest mchungaji aliyekosa kanisa, AshaDii my sis miss you sana na wewe Dena Amsi siku hizi nyumbani hukai wewe kiguu na njia kila siku ndo maana mchepuko miss chagga anapata nafasi ya kutamba Kongosho miss you sana
Upo wewe? Salama lakini?Preta siku hizi umepotelea wapi?maana mji wenu hakuishi mabomu
Dah nimeonaje aibu yaani wewe si wakukusahau aisee miss u my dear Kin
g'asti hebu niandali ile mashine gun kuna mtu anaitwa miss chagga anataka kuniharibia ndoa
hata wewe huonekani mtaa wa pili........Preta siku hizi umepotelea wapi?maana mji wenu hakuishi mabomu
Paw naye anachepucha au wewe ndo umechepuka kwa my sweetasali wa Sweetlady?hahaha usijali mamito. huyo miss chagga wala hahitaji binduki. Tutampulizia doom tu atasanda.
Bora idd imekufukua huko ulikojificha. Ulimisika sana, karibu tena.
Umenionea mke mwenza sweetlady?
hivi kuna mtu yupo sana hapa kuliko mimi? tafadhaliHawa siku hizi wanaonekana kwa nadra sana ndani ya hili jukwaa na tumemiss changamoto zao na thread zao nzuri na michango yao kuliboresha jukwaa letu mko wapi aise Lizzy, Lily Flower, Preta, Husninyo, Blaki Womani, gfsonwin, Smile, sweetlady, snowhite, Zion Daughter, King'asti, Chauro, Chocs, mwallu, Angel Nylon, The secretary, Asprin, Bishanga wa bashaija, Erickb52, Baba V mvunja ndoa za watu, Arushaone king mswati wetu, Vin Diesel mzee wa penda penda, Fixed Point, Mkirua, The Finest mchungaji aliyekosa kanisa, AshaDii my sis miss you sana na wewe Dena Amsi siku hizi nyumbani hukai wewe kiguu na njia kila siku ndo maana mchepuko miss chagga anapata nafasi ya kutamba Kongosho miss you sana
charminglady inaelekea Arushawing ina matatizo makubwa sana siku hizi na ndo maana wamekimbia humu wengi Kimey mzima mkuu habari za kwako aise long timeSijui kwanini watajwa hapo juu ni member wa Arushawing??
What is wrong ArushaWing???
King Mswati Arushaone ufafanuzi tafadhali....