Nimejikuta nafikiria na kuwakumbuka hawa watu...

Nimejikuta nafikiria na kuwakumbuka hawa watu...

Atakayekutana na pacha wangu Ablessed please aripoti polisi.....
Zawadi nono kutolewa
 
Last edited by a moderator:
weeeh, Paw wangu hajawahi kuchepuka. Kwanza tulioana wote tukiwa wapyaaaaa sealed. Na milele hadi kifo.
Kwa lugha za pwani, mke mwenza ni yule mliyeolewa kwenye familia moja.
Paw naye anachepucha au wewe ndo umechepuka kwa my sweetasali wa Sweetlady?
 
Last edited by a moderator:
weeeh, Paw wangu hajawahi kuchepuka. Kwanza tulioana wote tukiwa wapyaaaaa sealed. Na milele hadi kifo.
Kwa lugha za pwani, mke mwenza ni yule mliyeolewa kwenye familia moja.
oh! mwenzangu mambo ya pwani nayajulia wapi Mmisheni mimi?
 
Back
Top Bottom