mwallu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 6,787
- 4,210
not really....
heheh...huu uzi naona wa ma''old schoolers''-THE CLASSIC JAMBO ERA(2006-2010)...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heheh...huu uzi naona wa ma''old schoolers''-THE CLASSIC JAMBO ERA(2006-2010)...
fanya hima rafiki, nimemmiss sana pacha wangu huyoMara ya mwisho nilimuona njia panda ya machame..ngoja nicheki na muuza maparachichi pale njiani rafiki
shem nimejaa tele........ hata wewe ulinimiss kwani? serious?Usiadimike sana. Leo nina hamu ya kula chapati ujue
shem nimejaa tele........ hata wewe ulinimiss kwani? serious?
Naanza kama sijakutaja si kwamba sikupendi ila tecno yangu ni hasara tupu:
Asprin, Kaka Kiiza, Lizzy afrodenzi Teamo Fidel80 Baba Enock Fixed Point Mzee wa Rula Preta paka Jimmy Dark City wise Lady MwanajamiiOne, RR aka Roya Roya Kimey The Finest Rutashubanyuma Maty Nyamayao Nyani Ngabu Rose 1980 [MENTION=11167]Bishanga Rejao Ritz faiza Foxy [/MENTION] Mzee mwenyewe Kaizer Chauro HusninyoEnnie Mr Rocky aka my Huby wengi mno wengine nitawataja kesho tunamalizia Idd kesho kazi msijisahau wapendwa eeh. NIMEWAMISS SANA WAPENZI WA MTIMA WANGU
unataka kunipeleka wapi?Una faini kubwa sana bazaz gani hufati code of conduct? Tutakutoa uanachama ujue...uone kama miss chagga utamwona tena
Cc Nicas Mtei
Hawa siku hizi wanaonekana kwa nadra sana ndani ya hili jukwaa na tumemiss changamoto zao na thread zao nzuri na michango yao kuliboresha jukwaa letu mko wapi aise Lizzy, Lily Flower, Preta, Husninyo, Blaki Womani, gfsonwin, Smile, sweetlady, snowhite, Zion Daughter, King'asti, Chauro, Chocs, mwallu, Angel Nylon, The secretary, Asprin, Bishanga wa bashaija, Erickb52, Baba V mvunja ndoa za watu, Arushaone king mswati wetu, Vin Diesel mzee wa penda penda, Fixed Point, Mkirua, The Finest mchungaji aliyekosa kanisa, AshaDii my sis miss you sana na wewe Dena Amsi siku hizi nyumbani hukai wewe kiguu na njia kila siku ndo maana mchepuko miss chagga anapata nafasi ya kutamba Kongosho miss you sana
Upo mamy nimekumissije aise
Ile issue yetu tuimalize maana bi mkubwa yuko shamba ameenda kuvuna aise
One day you will find the right words on what I meannot really....
Dah nimeonaje aibu yaani wewe si wakukusahau aisee miss u my dear Kin
g'asti hebu niandali ile mashine gun kuna mtu anaitwa miss chagga anataka kuniharibia ndoa
Hahaha...we usitie hofu..mi sili watu miss chagga