Nimejikuta nafikiria na kuwakumbuka hawa watu...

Nimejikuta nafikiria na kuwakumbuka hawa watu...

Baadaye tuonane Delington nikuleweshe.

Aisee nitafurahije ila sipapendi sana hapo kuna chimbo linaitwa 'Cheers' mnyama katulia na wapishi poa kabisa ila radio call not reachable bana kulikoni
 
Nipo mie......muulize hata Kaizer paroko wangu

Ameniambia eti umekimbia nyumbani hujaonekana leo siku ya tatu toka eid ianze Kaizer hebu thibitisha hapa

Bazaz Kaizer hebu toa amri na maelekezo ya mahakama ya kukutania ili tumalize kesi.

Hivi kwani mimi ndo nilikuwa na makosa Nicas Mtei na Kaizer

Una faini kubwa sana bazaz gani hufati code of conduct? Tutakutoa uanachama ujue...uone kama miss chagga utamwona tena

Cc Nicas Mtei
miss chagga hana kiota kingine zaidi ya cha kwangu
Nilifuata sana ila sikuwa na namna tyre za baiskeli yangu zilipasuka zote nikashindwa kuwahi mazoezi

Kaizer leta maneno haraka sana.
nicas toa maelekezo bana

Faini yake ni Castle zisizopungua 10. Baada ya hapo atakuwa huru

Mhhh hapa ni faini au ni hasara sasa

Tunampa.mtuhumiwa uhuru wa kuchagua kwanza..
Kiwanja kile kile aise hakina kunguru wengi bana
cc Nicas Mtei na Kaizer
 
Last edited by a moderator:
Ameniambia eti umekimbia nyumbani hujaonekana leo siku ya tatu toka eid ianze Kaizer hebu thibitisha hapa



Hivi kwani mimi ndo nilikuwa na makosa Nicas Mtei na Kaizer


miss chagga hana kiota kingine zaidi ya cha kwangu
Nilifuata sana ila sikuwa na namna tyre za baiskeli yangu zilipasuka zote nikashindwa kuwahi mazoezi

nicas toa maelekezo bana



Mhhh hapa ni faini au ni hasara sasa


Kiwanja kile kile aise hakina kunguru wengi bana
cc Nicas Mtei na Kaizer

Wewe im watching u...ujue we leta zako hapa
 
Last edited by a moderator:
Dena Amsi.

Ahsante kwa kunikumbuka na imeni touch kuelewa kuwa nami nimo kwenye list ya "NIMEWAMISS SANA WAPENZI WA MTIMA WANGU".

Mwenyeezi Mungu akujaalie kila la kheri kwa kutupenda nasi twakupenda sana.

Pata dedication hii kutoka kwa "legend" Machaprala:

[video=youtube_share;Kvx1nkRi2mA]http://youtu.be/Kvx1nkRi2mA?list=PLA2FCC8E3D03 E3DBD[/video]
 
Last edited by a moderator:
Ameniambia eti umekimbia nyumbani hujaonekana leo siku ya tatu toka eid ianze Kaizer hebu thibitisha hapa



Hivi kwani mimi ndo nilikuwa na makosa Nicas Mtei na Kaizer


miss chagga hana kiota kingine zaidi ya cha kwangu
Nilifuata sana ila sikuwa na namna tyre za baiskeli yangu zilipasuka zote nikashindwa kuwahi mazoezi

nicas toa maelekezo bana



Mhhh hapa ni faini au ni hasara sasa


Kiwanja kile kile aise hakina kunguru wengi bana
cc Nicas Mtei na Kaizer

Noted Sir
 
Last edited by a moderator:
Nipo best, nilikuwa sijui kama utu uzima dawa.
kabisa Husninyo ila usipotee hivyo bana

Baadaye tuonane Delington nikuleweshe.
Asprin ukija kipande hii utoe taarifa za ujio wako usije ukasababisha ajali bure

Nipo nimeshamwona kaondoka wewe kesho njoo yale maeneo yetu tufanye mambo fasta

fanya faster bado network yake iko not reachable ukichelewa zaidi itakuwa reachable

Wewe im watching u...ujue we leta zako hapa

My dear wangu niko hapa na wewe mbona wasi wasi aise
 
Last edited by a moderator:
kabisa Husninyo ila usipotee hivyo bana


Asprin ukija kipande hii utoe taarifa za ujio wako usije ukasababisha ajali bure



fanya faster bado network yake iko not reachable ukichelewa zaidi itakuwa reachable



My dear wangu niko hapa na wewe mbona wasi wasi aise
Sielewi anaogoapa nini? Mmh kazi ipo kama ajiamini ni shida
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom