Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Anazingua mtoto wa kiume analiajeAmakweli afanye hivyo
Mwambie asijikize wimbo wa Geaz mabovu 'mtoto wa kiume acheni nijitume...'Anazingua mtoto wa kiume analiaje
Anazingua mwana ety kalia ana hisia kama dory ππMwambie asijikize wimbo wa Geaz mabovu 'mtoto wa kiume acheni nijitume...'
Amerudi udogoniAnazingua mwana ety kalia ana hisia kama dory ππ
Hivi siku hizi BRAZA CHOGO mama la kugawa mautamu yu wapi.Anazingua mwana ety kalia ana hisia kama dory ππ
Itakuwa yupo kanisan huko maake, huko morogoro mambo mengi πHivi siku hizi BRAZA CHOGO mama la kugawa mautamu yu wapi.
Duh ama kweli watu wanaokoka na kuuona uso wa bwana.Itakuwa yupo kanisan huko maake, huko morogoro mambo mengi π
Kabisa kabisa kaka! Amini ya kwambaDuh ama kweli watu wanaokoka na kuuona uso wa bwana.
Mkuu wote wakachomwa motoHii dogo alikuwa anampelekea mikate yule myahudi inasikitisha sana hii
ππππππππ Daaah we jamaaMimi huwa natuliza hao wanaopiga kelele tukiwa tunaangalia hivo horror movie!
Ndo maana kanakuliza πNimejikuta natokwa na chozi baada ya kucheki huu mzigo aiseee
View attachment 3236682
Wakuu acha kabisa..
All in all now nimepata katoto ka 2000 mi na mashangazi ndo basi
Kwa sasa nimetulia aiseee yaan kwanza hapa ukiona nipo kimya jua kanipa onyo kuja huku..Ila hivi vitoto huwa vya moto sana
Ila hivi visichana huwa vinawamudu sana, unapewa makatazo na unatii kwa adabu zote. Safi!
Mimi nilishuhudia jamaa anarudisha gari na fremu kwa sababu kasichana hakataki mali za mshangazi, nilivyoleta humu watu wakaniambia ni chai, haiwezekani. ila haya mambo yapo sana tu!
Wote wameungua mkuu πππHii dogo alikuwa anampelekea mikate yule myahudi inasikitisha sana hii
Ahahahha mkuu acha kabisa ila kwa sasa nainjoi na hawa watotoDaaah kazi unayo mpka June huko π
Maziwa mtindi ndo tumewaachia ahaahhahahMashangazi mtuachie sisi wajomba..tunawezana!!
Wee ndo unazingua..Anazingua mtoto wa kiume analiaje
Sawasawa kaka πAhahahha mkuu acha kabisa ila kwa sasa nainjoi na hawa watoto
Huyu ni soulmate wangu ujue..Ndo maana kanakuliza π
Mkuu naweza sema kwa sasa ukiniona nasifia mashangazi jua naumwaSawasawa kaka π