Achapombe cha pombe
Member
- Feb 11, 2023
- 96
- 182
Jumla ya magroup sita yananitaka nitoe si chini ya laki laki.
Nimeleft. Sitaki ujinga.
Hizi ndoa za maghalama hizi ni upuuzi mtupu. Watu kuoana muoane wenyewe mizigo mtubeneshe sisii, shenzi.
Mimi natoaga tu mwanaharamu apite mara zote kulipishana mahela ni ujuha.
Kwani mnashindwa nini kujichanga mkala ubwabwa na ndugu zenu au washkaji wako? Chai, soda kalimati tosha kuolea au kuoa. Yanini uchamgishe pesa uipoteze, na kiasi hicho lets say 15 millions wewe mwenyewe unakihitaji.
Hakikuumi kukipoteza kuwapa deal wapikaji? Wapambaji? Madomo kaya aka wasema hovyo ma MC. Unajisikiaje kupoteza pesa kukodi magari? Kulipia millions ukumbi ambao ni siku moja kwa nini usiipate millioni ukannua matofali ukajenga?
Mimi nadhani ule mapango wa kulipa kodi ya sherehe ianzishwe, kutokomeza huu upuuzi.
Cha ajabu wengi mnaoana kwa mamilions of money hamdumu kwenye ndoa na pesa huishia kupotea na kwamba umewatia hasara wachangiaji.
Nimeleft magroup ya harusi si kwa nia Mbaya ni kwa ustawi wa maisha ya watu wanaoumia na hawasemi.
Nimeleft. Sitaki ujinga.
Hizi ndoa za maghalama hizi ni upuuzi mtupu. Watu kuoana muoane wenyewe mizigo mtubeneshe sisii, shenzi.
Mimi natoaga tu mwanaharamu apite mara zote kulipishana mahela ni ujuha.
Kwani mnashindwa nini kujichanga mkala ubwabwa na ndugu zenu au washkaji wako? Chai, soda kalimati tosha kuolea au kuoa. Yanini uchamgishe pesa uipoteze, na kiasi hicho lets say 15 millions wewe mwenyewe unakihitaji.
Hakikuumi kukipoteza kuwapa deal wapikaji? Wapambaji? Madomo kaya aka wasema hovyo ma MC. Unajisikiaje kupoteza pesa kukodi magari? Kulipia millions ukumbi ambao ni siku moja kwa nini usiipate millioni ukannua matofali ukajenga?
Mimi nadhani ule mapango wa kulipa kodi ya sherehe ianzishwe, kutokomeza huu upuuzi.
Cha ajabu wengi mnaoana kwa mamilions of money hamdumu kwenye ndoa na pesa huishia kupotea na kwamba umewatia hasara wachangiaji.
Nimeleft magroup ya harusi si kwa nia Mbaya ni kwa ustawi wa maisha ya watu wanaoumia na hawasemi.