Nimejiridhisha kwamba CCM imekita mizizi, kama vyama vya kikomunist vya China na Korea Kaskazini

Nimejiridhisha kwamba CCM imekita mizizi, kama vyama vya kikomunist vya China na Korea Kaskazini

Kuna kitu tunaita kwa kimombo 'Non-partisan' ni maarufu sana kwenye siasa za magharibu, ikiwa na maana kwenye vyombo kama vya ulinzi na usalama, vinatakiwa viwe na hii principle ya kutoegemea upande mmoja...

Ila ukiwa na vyombo kama hivi vimejipambanua kuwa CCM wazi wazi, hapo ndo nikashindwa kuvitofautisha na vyama vya kikomunist ambavyo vinatawala China na N.Korea.

Achana na habari ya ku define ukomunist kwa sasa, jibu ni kwamba mfumo wa CCM ume adopt muundo wa mifumo ya dola ya nchi za kikomunisti, ambayo kwayo, huwa wanataka kutawala kila kitu kwa ngazi zote..

Nadhani sasa umenielewa
Mkuu, Bila ya kudifine ni kuwapoteza wengine....

Kwa wale wataotaka kuangalia shilingi upande mwingine Mtafute Theda Skocpol, States & Social Revolution kuna shehena huko au Milton Friedman nimejifunza mengi na hawa iamaa pamoja na kuwa kuna mengine yanaweza kuwa yamepitwa na Wakati.

Nakuelewa
 
Pamoja na kuwa CCM imenikuza, Pamoja na kuwa CCM imeniangusha. Hata siku moja-au Kamwe siwezi kuiita ya Kikomunisti.

Na ukipata mda ...please Define Ukomonisti.

Hiyo ni lugha ya Ukimbari, Ni lugha inayotumika kuwahadaa Vijana wa Ulaya na Magharibi yake.

Haina mshiko tena katika korido za Kimataifa na ni za wale wa Mlengo wa Kulia- Kulia (Far-Right) Yaani wale wanaohusishwa na Ushetani. Msitumezeshe sumu zenu.

Ni Propaganda Hasi.

Utaeleweka.
Amejiandikia tu porojo na vitu visivyoeleweka.
 
Amejiandikia tu porojo na vitu visivyoeleweka.
Yeye mwenyewe anaelewa.
Ninavyoona na ninacho jaribu kupigana nacho ni Dis-Information

Bandiko Kuu(ya kuwa CCM inafanana na N.Korea au China) na yale ambayo anadai "amejiridhisha" nayo naona kama yanashindana(they oppose themselves) na yale anayodai yanadhihirisha hivyo. Kwanini....

Moja ya nguvu za kueneza Dis-Information au mbinu ni kuandika au kusema kitu Kijulikanacho- hapa ni Kuwa tunasikia na kuona jinsi Nchi za Magharibi pamoja na vyombo vyao vya habari vinavochagiza nchi hizo mbili tajwa- ni ukweli, lakini yale mengine ya 'kujiridhisha' hayatoshelezi hoja zake. Huo ndio mtazamo wangu, na naweza kuwa nikekosea au sijamsoma vizuri. Hatma yake ni kuwa wale wasio na mda wa Kujidhihirisha, au wale wanaosoma vichwa, wanaweza kwenda kwingine na Kudai yale ya Bandiko Kuu kuwa CCM ni cha Kikomunisti na ni kweli!

Hatahivyo, CCM ndio wawe na kazi za kumshurutisha, waje wakatae au wakubali madai yake ambayo yanawezekana ni ya ukweli au lah...waache waitwe Wakomunisti. Ni shauri yao.

Naona na mimi nimeweka weka maneno.
Usiku mkubwa kwangu sasa.
 
Yeye mwenyewe anaelewa.
Ninavyoona na ninacho jaribu kupigana nacho ni Dis-Information

Bandiko Kuu(ya kuwa CCM inafanana na N.Korea au China) na yale ambayo anadai "amejiridhisha" nayo naona kama yanashindana(they oppose themselves) na yale anayodai yanadhihirisha hivyo. Kwanini....

Moja ya nguvu za kueneza Dis-Information au mbinu ni kuandika au kusema kitu Kijulikanacho- hapa ni Kuwa tunasikia na kuona jinsi Nchi za Magharibi pamoja na vyombo vyao vya habari vinavochagiza nchi hizo mbili tajwa- ni ukweli, lakini yale mengine ya 'kujiridhisha' hayatoshelezi hoja zake. Huo ndio mtazamo wangu, na naweza kuwa nikekosea au sijamsoma vizuri. Hatma yake ni kuwa wale wasio na mda wa Kujidhihirisha, au wale wanaosoma vichwa, wanaweza kwenda kwingine na Kudai yale ya Bandiko Kuu kuwa CCM ni cha Kikomunisti na ni kweli!

Hatahivyo, CCM ndio wawe na kazi za kumshurutisha, waje wakatae au wakubali madai yake ambayo yanawezekana ni ya ukweli au lah...waache waitwe Wakomunisti. Ni shauri yao.

Naona na mimi nimeweka weka maneno.
Usiku mkubwa kwangu sasa.
🤣🤣🤣sawa
 
Achana na habari ya ku define ukomunist kwa sasa, jibu ni kwamba mfumo wa CCM ume adopt muundo wa mifumo ya dola ya nchi za kikomunisti, ambayo kwayo, huwa wanataka kutawala kila kitu kwa ngazi zote..
Upo sahihi kabisa boss, Ccm ni chama dola (japo hakipo kwenye ukomunisti), huwezi kuitenganisha na dola kuanzia muundo wake hata utendaji wake, ndio maana hivyo vyombo vya dola daima hufanya kazi kwa masilahi ya kuilinda Ccm.

JokaKuu
Pascal Mayalla
 
Ni kweli CCM imekita mizizi kila pande hapa nchini inayo hitaji kuchomolewa.
 
Back
Top Bottom