Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Halafu Nyamwi michezo gani hio unaniambia hayakuhusu-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmeamua kukaa pembeni mwnyw sitaki ligi 😂Utamuua mpare wa watu😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa kweli mtaniNmeamua kukaa pembeni mwnyw sitaki ligi 😂
Hayakuhusu mwnyw anasema amepigiwa na watu wengi hvy haelewi nani n nani, so hapo n kujiweka pembeni tuu kabla yakuyakanyagaKwa kweli mtani
Hapa naona mafuriko ya watu
Tegemea tu kupewa Makavu ukikengeuka na kupewa Dozi kidogo ukijaa vizuri katika 18 za Wakongwe Werevu na Wakomavu hapa.Heloooo....View attachment 3053560
Nina Furaha kuuuubwa
sana nimejiunga Leo jf "Home of greater thinker"
Nitegemeee mazuri yapi kutoka jf najua hamna mabaya
Umepewa Namba za kwenye nguzo za umeme kua makini kijanaHayakuhusu mwnyw anasema amepigiwa na watu wengi hvy haelewi nani n nani, so hapo n kujiweka pembeni tuu kabla yakuyakanyaga
Huyu wa kwetu huyu wala hatusumbui tushamzoe hivyo hivyo kesho anakuja na nyingine tutamdavila tenaMmemshtukia mapema sana mbona angewagaragaza😂😂😂🤣🤣ila humu kuna mambo yanachekesha sana
Ah kwa style hy sikamatiki 😂Umepewa Namba za kwenye nguzo za umeme kua makini kijana
Ulimtia ban?Nakuonya upunguze kufungua ID nyingi bila sababu, Nilikupiga ban kwenye ID uliyoleta uzi wa Honeymoon kwasababu ya kukosa nidhamu ukafungua hii, na sasa hivi umeenda kufungua tena ya Hayakuhusu
Huyo ni Nyamwi sio SofiaKaribu sanaa Sofia.
Karibu kwenye chama chetu cha WAKATAA NDOA.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
YeahUlimtia ban?
🤣🤣🤣🤣🤣Imekaa kikatili SanaKaribu.
Watu tuna depression humu usijaribu kujibizana na watu, jifunze kulet it go.
Kama wewe ni ME humu hamna demu wote ni mamen ata ukiona mtu anasema "jomon" ni tapeli. Kama wewe ni KE huku kuna gonorrhea.
Usitume nauli.
Hili swali analikwepa sana.Nyamwi hii ID ya ngapi unaifungua?
Aroooo.....Heloooo....View attachment 3053560
Nina Furaha kuuuubwa
sana nimejiunga Leo jf "Home of greater thinker"
Nitegemeee mazuri yapi kutoka jf najua hamna mabaya
Hii umenichekesha sana😂😂 Kama kweli hiyo no ni valid. Kuna watu humu wanauchu sana. Ila kama, Ni uongo Script yako tamu 😏😏😏Nyote mnaopiga simu ni ma adimn nashindwa nimuelewe nan