Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Bome-e

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
17,179
Reaction score
26,188
Hapa nilipo nimeudhika sana,hata dinner niliyopanga kupata naye imebidi tu nilipie 1 drink na msosi wake halafu nizuge nimepata dharura!

Yaani huyo binti nilimDM insta baada ya kuona picha zake,daaah nikasema mashalaaa!Aliporespond,tukabadilishana mawasiliano na tukaanza kuongea!

Bahati nzuri wote tuko kwa jiji,basi tukapanga leo tukutane Catalunya pale opposite na Mlimani city!

Lahaula,yaani mpaka anafika sijamjua kama ni yeye!Mpaka aliposhika simu na kupiga,simu yangu ilipoita ndio nikajivunga kumpungia mkono!

Nilikaa tu kuzuga kama dk 15 then nikazuga kupokea simu ya dharura!Nimemuahidi narudi ila ndio mazimaaaa!!!!

Wadada punguzeni filters!

Eti huyu ni Linah,jaman!!!
 
Hapa nilipo nimeghafirika sana,hata dinner niliyopanga kupata naye imebidi tu nilipie 1 drink na msosi wake halafu nizuge nimepata dharura!
Yaani huyo binti nilimDM insta baada ya kuona picha zake,daaah nikasema mashalaaa!Aliporespond,tukabadilishana mawasiliano na tukaanza kuongea!
Bahati nzuri wote tuko kwa jiji,basi tukapanga leo tukutane Catalunya pale opposite na Mlimani city!
Lahaula,yaani mpaka anafika sijamjua kama ni yeye!Mpaka aliposhika simu na kupiga,simu yangu ilipoita ndio nikajivunga kumpungia mkono!
Nilikaa tu kuzuga kama dk 15 then nikazuga kupokea simu ya dharura!Nimemuahidi narudi ila ndio mazimaaaa!!!!

Wadada punguzeni filters!
Sura kachukua kwa babu yake nini[emoji23]

Kuna watu washaamka asubuhi na kujikuta wamelala na viumbe wasiowatambua, baada ya kutoa make-up
 
2014 Nilikutana na Kabinti fulani Fb, kwa muonekano wa picha ni mzuri sana na nikaona bonge la deal kukubaliwa na mwanamke wa calber ile.. tukapanga kukutana usa river, aisee Nilichoka.. Nikampigia kuhakikisha kama ni yeye alipopokea tu nikazima na kuzima simu.. Mpaka na leo demu wa social Media Hapana!
 
Hapa nilipo nimeghafirika sana,hata dinner niliyopanga kupata naye imebidi tu nilipie 1 drink na msosi wake halafu nizuge nimepata dharura!
Yaani huyo binti nilimDM insta baada ya kuona picha zake,daaah nikasema mashalaaa!Aliporespond,tukabadilishana mawasiliano na tukaanza kuongea!
Bahati nzuri wote tuko kwa jiji,basi tukapanga leo tukutane Catalunya pale opposite na Mlimani city!
Lahaula,yaani mpaka anafika sijamjua kama ni yeye!Mpaka aliposhika simu na kupiga,simu yangu ilipoita ndio nikajivunga kumpungia mkono!
Nilikaa tu kuzuga kama dk 15 then nikazuga kupokea simu ya dharura!Nimemuahidi narudi ila ndio mazimaaaa!!!!

Wadada punguzeni filters!
Yani wewe DM Chick ya Harmonize hujaiona mpaka leo?

Ile ndio true story ya maisha ya Insta.
 
Acheni roho mbaya na husda.
Sasa mnataka sie wenye sura za baba tupendwe na akina nani?

Kwani wewe unataka sura au mnato?
Acheni ulimbukeni na ushamba.

Na bado, mtatujua mpaka akina Rihanna tunaoongea kiswahili sanifu na kihaya.
Shubaamit!!!!
 
Ulishapiga mvinyo halafu ukachukuaa demu ukijua mkali,asubuhi unamtanguliza kama nusu saa nawe ndio utoke!
Pitia huo uzi ukakutane na hao wenzetu walipiga mvinyo na kufurahi na roho zao asubuhi baada ya kuzinduka dadeki
 
2014 Nilikutana na Kabinti fulani Fb, kwa muonekano wa picha ni mzuri sana na nikaona bonge la deal kukubaliwa na mwanamke wa calber ile.. tukapanga kukutana usa river, aisee Nilichoka.. Nikampigia kuhakikisha kama ni yeye alipopokea tu nikazima na kuzima simu.. Mpaka na leo demu wa social Media Hapana!
Halafu sijui kwann hawajishtukii!!!Au wakijiangalia kwenye kioo,huwa hawaoni tofauti na mapicha picha wanayotupia insta?
 
Back
Top Bottom