King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hahahaaaa haya Nenda Gym ya kupunguza Tumbo tu Msambwanda ubaki hivyo hivyo 😀😀😀😀.Nina 1 kid ana 14.
Karibu napata mjukuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa haya Nenda Gym ya kupunguza Tumbo tu Msambwanda ubaki hivyo hivyo 😀😀😀😀.Nina 1 kid ana 14.
Karibu napata mjukuu
Unapenda wanawake wa hivi?hapana, baki vivyo hivyo, twatofautiana uhitaji
Hata msambwanda hawatutaki.Hahahaaaa haya Nenda Gym ya kupunguza Tumbo tu Msambwanda ubaki hivyo hivyo 😀😀😀😀.
Mhhhh hakuna mwanamme hasiyependa msambwanda,wengi hatupendi "SANAMU LA MICHELINI TU",Ukiwa na Tumbo linaharibu SHEPU.Hata msambwanda hawatutaki.
Wanataka slim wenye figa
Sasa basi mie hilo tumbo ndo balaa.Mhhhh hakuna mwanamme hasiyependa msambwanda,wengi hatupendi "SANAMU LA MICHELINI TU",Ukiwa na Tumbo linaharibu SHEPU.
Uje afu kesho unianzishie thread.Nikufuate PM nini
Umeona eeeeHiyo kama una kibamia huifikii,utaishi kupiga paja tu
Ndio hujamtaja, ila najua baadhi ya rafiki zako humu Jf ushawaambiaHahaaaaaaaa,si unaona hata huyu sijamtaja
Tumbo kuliondoa fasta tu,ukiwa serious ndani ya mwezi linatoka lote.Sasa basi mie hilo tumbo ndo balaa.
Ngoja nianze gym
ha ha ha haSura kachukua kwa babu yake nini[emoji23]
Kuna watu washaamka asubuhi na kujikuta wamelala na viumbe wasiowatambua, baada ya kutoa make-up
Sio hivyo mkuu muwe mnaweka picha halisia,unakuta alishaweka hisia anakutana na mtu wa aina fulani;gafla mzee analala.Acheni roho mbaya na husda.
Sasa mnataka sie wenye sura za baba tupendwe na akina nani?
Kwani wewe unataka sura au mnato?
Acheni ulimbukeni na ushamba.
Na bado, mtatujua mpaka akina Rihanna tunaoongea kiswahili sanifu na kihaya.
Shubaamit!!!!
Wanaume hamnaga siri.Hahahaaaàaa,mficho wa ofisi
Wapo wataalamu.Kazi kweli kweli,ila kuna wadau wanajua kuchambua nyama hizo mpaka kitu kinabaki kweupeeee!!!
Ngoja nianze mazoezi maana isije fika Jf Party bado niko na tumbo langu zikaja kumiminika thread hapaTumbo kuliondoa fasta tu,ukiwa serious ndani ya mwezi linatoka lote.
1.Mazoezi Jogging
2.Maji Mengi.
3.Cut down Wanga,Supu.Mchemsho/Vyapati vyapati
4.Plenty of veggy
Wewe umapoamua kutongoza mdada humu kwenye media, tegemea lolote.Sio hivyo mkuu muwe mnaweka picha halisia,unakuta alishaweka hisia anakutana na mtu wa aina fulani;gafla mzee analala.