Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

hapana, baki vivyo hivyo, twatofautiana uhitaji
Unapenda wanawake wa hivi?
Kama unapenda....karibu
20181001_020313.jpg
 
Acheni roho mbaya na husda.
Sasa mnataka sie wenye sura za baba tupendwe na akina nani?

Kwani wewe unataka sura au mnato?
Acheni ulimbukeni na ushamba.

Na bado, mtatujua mpaka akina Rihanna tunaoongea kiswahili sanifu na kihaya.
Shubaamit!!!!
Sio hivyo mkuu muwe mnaweka picha halisia,unakuta alishaweka hisia anakutana na mtu wa aina fulani;gafla mzee analala.
 
Tumbo kuliondoa fasta tu,ukiwa serious ndani ya mwezi linatoka lote.

1.Mazoezi Jogging
2.Maji Mengi.
3.Cut down Wanga,Supu.Mchemsho/Vyapati vyapati
4.Plenty of veggy
Ngoja nianze mazoezi maana isije fika Jf Party bado niko na tumbo langu zikaja kumiminika thread hapa
"Ohhhh Madame kuponda wanaume wakati ana sura kama upande wa chupi"...akha!!!
 
Back
Top Bottom