Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna post imeletwa leo jalibu kuitatuta uone watu wanavyotililika....pole my bro[emoji23]Hapa nilipo nimeghafirika sana,hata dinner niliyopanga kupata naye imebidi tu nilipie 1 drink na msosi wake halafu nizuge nimepata dharura!
Yaani huyo binti nilimDM insta baada ya kuona picha zake,daaah nikasema mashalaaa!Aliporespond,tukabadilishana mawasiliano na tukaanza kuongea!
Bahati nzuri wote tuko kwa jiji,basi tukapanga leo tukutane Catalunya pale opposite na Mlimani city!
Lahaula,yaani mpaka anafika sijamjua kama ni yeye!Mpaka aliposhika simu na kupiga,simu yangu ilipoita ndio nikajivunga kumpungia mkono!
Nilikaa tu kuzuga kama dk 15 then nikazuga kupokea simu ya dharura!Nimemuahidi narudi ila ndio mazimaaaa!!!!
Wadada punguzeni filters!
Sasa si muweke sura zenu bila kuziedit na maphotoshop kibao?Acheni roho mbaya na husda.
Sasa mnataka sie wenye sura za baba tupendwe na akina nani?
Kwani wewe unataka sura au mnato?
Acheni ulimbukeni na ushamba.
Na bado, mtatujua mpaka akina Rihanna tunaoongea kiswahili sanifu na kihaya.
Shubaamit!!!!
wengi huimagine ni wazuri kwahiyo picha ya kwamba wao ni wazuri hujijenga vichwani mwao na hukomaa!Halafu sijui kwann hawajishtukii!!!Au wakijiangalia kwenye kioo,huwa hawaoni tofauti na mapicha picha wanayotupia insta?
ata sijui iyo insta inafananaje naonaga tu kwa madadaNawe utakuwa mhanga
Asa niweke yangu utegeke saa ngap?Sasa si muweke sura zenu bila kuziedit na maphotoshop kibao?
Nyie tatizo mnataka demu wenye chura au mwenye chuchu konzi.Ndio hapo mnasababisha tuwakimbie na bill juu yenu!Kama umekuja kama box,utaacha simu
Wanatujazia vitu vya ajabu tu..!mkianzaga insta muwe mnamalizana uko uko insta
Pumbav Sana í ½í¸í ½í¸í ½í¸
HayaKama ni mnato,mbona wanawake wa sinza wana bei kuliko wa buguruni?
Subiri kwanza Junior umlete duniani ndio uanze Diet.Ngoja nifanye mazoezi na diet ili nipungue.
kumbe mnapenda wanawake wembamba.
Nina 1 kid ana 14.Subiri kwanza Junior umlete duniani ndio uanze Diet.
hapana, baki vivyo hivyo, twatofautiana uhitajiNgoja nifanye mazoezi na diet ili nipungue.
kumbe mnapenda wanawake wembamba.