Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiu madame,unakuta ganzi mpaka kwenye unyayo!!!!Nakushambulia/tunakushambulia kwa kuyaanika maisha yako nje ya Jf huku.
Mmepewa vifua sio vya kuhifadhia mada jukwaa la siasa.
Mmepewa pia mpambane na changamoto kama hizo.
Eti utajuta.
We mpaka umri huo hujui filters zinafananaje?
Hujui kutofautisha kati ya halisi na copy
Poa mkuu mi mwenyewe nip dsm kwa mda ila usa river ndo home mitaa ya momellaNdio Kitaa Huko kwa sasa Nipo DSM
Aseeee[emoji15] [emoji15]Changamoto zenyewe kama ndio hizo za kunuka k,hell no!
Kujiamini sio rahisi. Ukute ushajijua Una sura ya babako weeee
Eti mke mdogoo...ni utachapiwa hadi akili ikukae sawaInategemeana mkuu ,usitafute mwenye likes nyingi,kuna mtoto mzuri yupo fb ,page yake ni ya kawaida tu ,hana marafiki wengi ,nilimtongoza akaja home ,duuh alikuwa mzuri kuliko hata kule fb,mpaka Leo huwa nakula,nimepanga baadae awe mke mdogo ,she is very loyal
Duuh kumbe uko single, nakuja PMKwelii yaani wanakero ndio maana nipo single
Hata baba awe handsome ukichukua sura yake huwi mzuri Kama yeyeWababa wengine mahandsome
Hapa nilipo nimeudhika sana,hata dinner niliyopanga kupata naye imebidi tu nilipie 1 drink na msosi wake halafu nizuge nimepata dharura!
Yaani huyo binti nilimDM insta baada ya kuona picha zake,daaah nikasema mashalaaa!Aliporespond,tukabadilishana mawasiliano na tukaanza kuongea!
Bahati nzuri wote tuko kwa jiji,basi tukapanga leo tukutane Catalunya pale opposite na Mlimani city!
Lahaula,yaani mpaka anafika sijamjua kama ni yeye!Mpaka aliposhika simu na kupiga,simu yangu ilipoita ndio nikajivunga kumpungia mkono!
Nilikaa tu kuzuga kama dk 15 then nikazuga kupokea simu ya dharura!Nimemuahidi narudi ila ndio mazimaaaa!!!!
Wadada punguzeni filters!
Eti huyu ni Linah,jaman!!!
Hata baba awe handsome ukichukua sura yake huwi mzuri Kama yeye