witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Catalunya si kumefungwa?hiyo Catalunya umeenda lini hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Catalunya si kumefungwa?hiyo Catalunya umeenda lini hapo?
Ni zaidi ya ovyooHatari kabisa
Ila ile thread ilikuwa ina guest wengi sijapata ona.
Ila wanaume wa humu Jf baadhi hawajielewi hataaaaaa.
Wa hovyo hovyo tu muda wote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwahiyo ulitaka mimi nimvumilie mnuka K
Basi una damu mbaya mkuu.Kweli tena,tokea 2014 sijawahi kuandika MMU!Na si kila linalotokea kwenye mahusiano yangu huwa naandika,hii nimeandika tu maana mtu mwenyewe tumeonana mara moja tu!!!Wanawake nawaheshimu sana tu,so msinijudge kwa hili!
yapCatalunya si kumefungwa?
NjooNakuja PM
HahahahahhNi zaidi ya ovyoo
Ndo hapo nashangaa...tunakutana na vituko lkn tuko kimya[emoji23]Yani hatari mbona si huwa hatuwaanzishii nyuzi za kuwazalilisha kweli wanaume wanahesabika
Sikweli mtu unampa moyo wote na attention halafu kumbe halaula kazi ipo kumbe umeangukia kuleee kushoto😈😈😈😈Hahahahahah
Jamani waja mna maneno.
Namuombea msamaha kwa niaba yake.
Hahahjajahahaja
Sipati picha mjusi akiwa kaangukia mgongo anavyokuwa
Ila inauma sana.Sikweli mtu unampa moyo wote na attention halafu kumbe halaula kazi ipo kumbe umeangukia kuleee kushoto😈😈😈😈
Si ajabu waweza kuficha simu baada ya kumuona [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126]Yaani humu wanaume kila kukicha ni mada za wanawake tuuuuu.
Kutafuta pesa hawataki...kazi kujadili huyu yupo hivi au vile.
Kwa kweli bora tu amejificha nyuma ya kivuli cha Id fake, huenda tungemjua, tungemshusha thamani
KabisaSi ajabu waweza kuficha simu baada ya kumuona [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nipe hyo offer ole wako uje unianzishie Uzi JF cha moto utakiona
Mimi ujanja wangu kwa mwanaume ambaye simjui tukipanga tuonane nakuwaga simple tu.Ila inauma sana.
Mdada unatoka unaulamba na makeup yako, halafu unarudishwa.
Hapana kwa kweli.
Na sie tukomage sa zingine