Asnath D
Member
- Sep 30, 2018
- 9
- 7
Labda kweliNaam na hiyo avatar basi ndio kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kweliNaam na hiyo avatar basi ndio kabisa
Usiache bhana.Katika pitapita yako najua hujawahi kukutana na ID yangu MMU,unadhani ni kwanini?
Wengine tukipata free time ndio twaja,nadhani huu ndio uzi wangu wa kwanza jukwaa la MMU toka nijiunge JF jan 2014!
Hapo awali nilikuwa msomaji tu kwa takribani miaka miwili ndio nikasijali!
So dont judge,simply kwasababu nimeshare experience niliyoipata jana!!!!Pengine kuja kuandika MMU inaweza isitokee tena,ni by chance tu!!!!!
Mambo ya ajabu kweli aseeNi shida sana bora kufunga tu PM aisee utoto mwingi.
Hahaaaa mi siwezi kabisa kahMama siwezi fanya hivyo,najua weww ndio utakuja kusema humu kuwa yule kaka kumbe ni gentlemen!!
Utuletee mrejesho.Nipe hyo offer ole wako uje unianzishie Uzi JF cha moto utakiona
Huku ni kujenga mahusiano tu lohJukwaa hili kiandikwe kitu gani?
Wanapenda picha haoo balaaaHahahhaha
Unashangaa tu picha zako ziko public.
Humu kuna wanaume wa hovyo sana
Mwanaume mzima unashindanaje na mwanamke jamaniWana kazi basi.
Kama nso hawataki kutafuta pesa ili kupambana nasi....watapata tabu sana
Kweli tena,tokea 2014 sijawahi kuandika MMU!Na si kila linalotokea kwenye mahusiano yangu huwa naandika,hii nimeandika tu maana mtu mwenyewe tumeonana mara moja tu!!!Wanawake nawaheshimu sana tu,so msinijudge kwa hili!Usiache bhana.
Ukitake mambo serious, utapasuka msamba.
Hapa tunapambana na wakaka wanaojiona akina mr perfect
Relax, maisha mafupi haya bro
Kila mtu picha ili iweje sasa aaarghWanapenda picha haoo balaaa
Bora kukataa asee...akikuvua na chupi so ndo kabisa[emoji15]Ndio hivo.
Tuishi nao kwa akili.
Wakitutaka, tukiwakataa watatusema na tukiwakubali wanatusema pia.
Sijui huwa wanatakaga nini hawa viumbe
alikuaje?Aah hata usiseme mkuu , nilikutana na demu fb jina zuri na picha anazopost ni mzur balaa
Sku nikapanga kukutana nae lodge moja maeneo ya ilala daah sikuamin aisee hapo hapo nikampiga bonge la dharura na nilimpa buku mbili kama nauli
Yaan hadi leo nikikumbuka ile sku nacheka mno
labda kweliNaam na hiyo avatar basi ndio kabisa
Kuna wanaume wambeya akikuvua pichu lazima atangaze Mimi huwa nashangaa hawaoni aibu au kutaka sifa za kijinga kuonekana kidumeBora kukataa asee...akikuvua na chupi so ndo kabisa[emoji15]
Kama mademu wa InstaWanapenda picha haoo balaaa
Hahaaaa usijali kabisa kwa hiloUtuletee mrejesho.
Muosha, huoshwa
Hapo chachaMwanaume mzima unashindanaje na mwanamke jamani