Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Ha ha ha post zinaweza kuwa poa hadi antena ikakamata vizuri, na katika post hizo mwanaume kuna picha anakuwa anaiweka kichwani,akitegemea mwisho wa siko alichokiona kwenye post kinaendana na mtu aliyemuweka kichwani.
Ila kweli, unaona post za madame unategemea utakutana na bonge la shori.
Hahahhaha
Kumbe unaenda kukutana na mbilikimo wa Congo
Lazima usande
 
Ila kweli, unaona post za madame unategemea utakutana na bonge la shori.
Hahahhaha
Kumbe unaenda kukutana na mbilikimo wa Congo
Lazima usande
Au unakuta madame ni msela anazingua tu
 
Ngekewaaaa hagaayaaaaaaaa GEGEDA GEGEDUAAAAAAAAAAAAAAAA..........
 
Kughafilika ni kutokukumbuka. Sijui ulitaka kusema nini?!
 
Ila kweli, unaona post za madame unategemea utakutana na bonge la shori.
Hahahhaha
Kumbe unaenda kukutana na mbilikimo wa Congo
Lazima usande
Ha ha ha taswira niliyonayo kwako ni mweupe kiasi,chura ipo,na una ubonge fulani...Ikija imetokea mmekutana na matokeo yamekuwa tofauti na matazamio hayo,ndipo shida inapoanza.
 
Hapa nilipo nimeghafirika sana,hata dinner niliyopanga kupata naye imebidi tu nilipie 1 drink na msosi wake halafu nizuge nimepata dharura!
Yaani huyo binti nilimDM insta baada ya kuona picha zake,daaah nikasema mashalaaa!Aliporespond,tukabadilishana mawasiliano na tukaanza kuongea!
Bahati nzuri wote tuko kwa jiji,basi tukapanga leo tukutane Catalunya pale opposite na Mlimani city!
Lahaula,yaani mpaka anafika sijamjua kama ni yeye!Mpaka aliposhika simu na kupiga,simu yangu ilipoita ndio nikajivunga kumpungia mkono!
Nilikaa tu kuzuga kama dk 15 then nikazuga kupokea simu ya dharura!Nimemuahidi narudi ila ndio mazimaaaa!!!!

Wadada punguzeni filters!
Unaamini huku jf pia yupo?
 
Rule 1.sitongozi demu ambaye sijawahi kumuona kwa macho manake sipendi surprise mie. Rule 2. Sitongozi hovyo
 
Rule 1.sitongozi demu ambaye sijawahi kumuona kwa macho manake sipendi surprise mie. Rule 2. Sitongozi hovyo
Angalia usinefikisha miaka 50 ndio ukaanza kutongoza hovyo
 
Back
Top Bottom