Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kweli, unaona post za madame unategemea utakutana na bonge la shori.Ha ha ha post zinaweza kuwa poa hadi antena ikakamata vizuri, na katika post hizo mwanaume kuna picha anakuwa anaiweka kichwani,akitegemea mwisho wa siko alichokiona kwenye post kinaendana na mtu aliyemuweka kichwani.
Ungefanya hiyo researchAisee
Ulivyoondoka hakukusumbua tena mkutane?Aaah wapi
Asa kumbe.Au unakuta madame ni msela anazingua tu
Hatari sanaResearch ya kujaribu kama dawa ya panya inaua au vp?cwez
Ha ha ha taswira niliyonayo kwako ni mweupe kiasi,chura ipo,na una ubonge fulani...Ikija imetokea mmekutana na matokeo yamekuwa tofauti na matazamio hayo,ndipo shida inapoanza.Ila kweli, unaona post za madame unategemea utakutana na bonge la shori.
Hahahhaha
Kumbe unaenda kukutana na mbilikimo wa Congo
Lazima usande
Unaamini huku jf pia yupo?Hapa nilipo nimeghafirika sana,hata dinner niliyopanga kupata naye imebidi tu nilipie 1 drink na msosi wake halafu nizuge nimepata dharura!
Yaani huyo binti nilimDM insta baada ya kuona picha zake,daaah nikasema mashalaaa!Aliporespond,tukabadilishana mawasiliano na tukaanza kuongea!
Bahati nzuri wote tuko kwa jiji,basi tukapanga leo tukutane Catalunya pale opposite na Mlimani city!
Lahaula,yaani mpaka anafika sijamjua kama ni yeye!Mpaka aliposhika simu na kupiga,simu yangu ilipoita ndio nikajivunga kumpungia mkono!
Nilikaa tu kuzuga kama dk 15 then nikazuga kupokea simu ya dharura!Nimemuahidi narudi ila ndio mazimaaaa!!!!
Wadada punguzeni filters!