Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
Demu wangu ni demu.Demu wako jinsia gani?
Na Wewe Mwenye Demu jinsia gani?
Wote tunakaa daarBila shaka we ni wa dar halafu umekutana na mademu wa mkoa, hapo lazima ulegee
hahahahahahah....naona ingekuwa vema kuhoji jinsia ya mtoa mada kwanza. ... .Demu wako jinsia gani?
Mungu anakuonaDemu wako jinsia gani?
Na Wewe Mwenye Demu jinsia gani?
Duh! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio kwa dharau hzDemu wako jinsia gani?
Na Wewe Mwenye Demu jinsia gani?
Duh! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio kwa dharau hzDemu wako jinsia gani?
Na Wewe Mwenye Demu jinsia gani?
Utakuwa mwanaume wa dar wewe.cc huku n ugali wa donaMimi Kisandu Junior mjukuu wa mzee Nalimi Ismaili leo nimetokewa na jambo ambalo nimepata aibu kidogo.
Nilifika mgaawani nikaagiza chipsi yai nikaweka na mayonaizi juu asa kumbe mulemule alikuwepo demu wangu na mashosti zake wanakula.
Aliponiona akaniita niende nikakae kwenye meza yao.
Walikuwa kama sita na wote waliagiza ugali , ugali samaki, ugali nyama choma nk.
Asa kidume naenda kukaa kulalaleki wanashangaa oda yangu inaletwa naletewa chipsi yai .
Mashosti zake demu walicheka balaa mpaka demu wangu akagombana nao tukaondoka.
Hata kama mnakaa dar itakuwa asili yako n hapo au uliingia dar miaka mingi iliyopita.tatizo huko joto linayeyusha damu inakuwa nyepesi na kulainisha ubongo.hivyo huathiri uwezo wa kufikir kama kidume.ndo maana wanaume weng wa dar wanavaa suruali chin ya makalio na visendo vidogo vya kike.Wote tunakaa daar