Nimekaa na wasichana kibao nimeagiza chipsi yai wao wameagiza ugali naona aibu kula.

Ndio tatizo wanawake, vitu vitamu vyote mnafikiri vimeumbwa kwa ajili yenu, nasema hivi tutabanana hukohuko kwenye chipsi na baga, ugali watakula wanaume wa mkoani
Hahaaa.
 
Hivi mkuu kesi yako inaendeleaje, nasikia walijuweka lockupumepata dhamana nini! nadhani utakuwa umejirekebisha hadi ID yako humu umeibadili na hata lugha walau kidogo inaeleweka...mchizi Mwl. Deogratius Nalimi Kisandu mwehu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…