Nimekaa nikafikiria, nikaona biashara ya matunda itanifaa zaidi

Nimekaa nikafikiria, nikaona biashara ya matunda itanifaa zaidi

Dah!! Ataweza kweli sheria zangu za maisha na kujinyima huyu?!!
Hayo matunda aje auzie kkoo atapata wateja wengi, na akiwa na nia ya kupanda ngazi za mafanikio basi aitazame kkoo kwa jicho la tatu.
Yangu ni hayo kwa uchache!!
Akisoma comment yangu kwa umakini atapata kitu.
Yes naamini atafanyia kazi huu ushauri

Huyu mdada anapaswa kuwa supported sababu ameamua kutumia njia hii tofauti na njia wanazotumia kina gigy.

Kama yupo serious, aombe appointment na ww naamini kuna steps atapiga
 
Yes naamini atafanyia kazi huu ushauri

Huyu mdada anapaswa kuwa supported sababu ameamua kutumia njia hii tofauti na njia wanazotumia kina gigy.

Kama yupo serious, aombe appointment na ww naamini kuna steps atapiga
Wewe mimi mtu nisiyejulikana naanzaje kuonana na watu?!! 😂😂😂

Halafu naishi Ifakara sio Dar! Taratibu habibt
Njia aliyotumia yes nzuri, tena sana japo hapo kati atakumbana na vikwazo na vishawishi km vyote!! Sio rahisi km unavyochukulia bae
Muhimu aombe Mungu na a focus na anachokitaka kwenye maisha yake.
 
Wewe mimi mtu nisiyejulikana naanzaje kuonana na watu?!! [emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu naishi Ifakara sio Dar! Taratibu habibt
Njia aliyotumia yes nzuri, tena sana japo hapo kati atakumbana na vikwazo na vishawishi km vyote!! Sio rahisi km unavyochukulia bae
Muhimu aombe Mungu na a focus na anachokitaka kwenye maisha yake.
Najua ugumu wa kuonana na ww, BUT

Huyu dada kwanza ameamua kushuka chini kabisa kaweka kila kitu pembeni apambanie ndoto yake na kubadilisha maisha yake. Naamini akipata coach mzuri kama ww na mwenye uzoefu sana kkoo atapiga hatua vizuri na atafika mbali sana.

Dada Agnes Madaa please ikikupendeza[emoji120], omba appointment na lamomy
 
Kwanini usitafute kibanda ukawa unauza hapohapo kuliko kutembea juani?

tatizo ni mtaji mdogo au
 
Najua ugumu wa kuonana na ww, BUT

Huyu dada kwanza ameamua kushuka chini kabisa kaweka kila kitu pembeni apambanie ndoto yake na kubadilisha maisha yake. Naamini akipata coach mzuri kama ww na mwenye uzoefu sana kkoo atapiga hatua vizuri na atafika mbali sana.

Dada Agnes Madaa please ikikupendeza[emoji120], omba appointment na lamomy

We mwanaume taratibu hebu kwanza kha!
 
Basi umemaliza bro, winga mwenzangu!!
Umenifurahisha ulivyompa tahadhali kumbe mnajijua tabia zenu, wazee wa usajili mpya 🤣🤣🤣🤣
Usajili mpya ukiingia awe muuza chai, chakula au matunda wote tunachukulia kwake 😁 tunaagiza msos wa bei ya juu katika menu yake(Timing) baada ya wiki mbona tayar utakuta Kuna muhuni ashapiga 😁baada ya hapo ataanza kubadili vijiwe, mkiskia lamomy kahamishwa kijiwe maanake kagigimanishwa🙌
 
Kwanini usitafute kibanda ukawa unauza hapohapo kuliko kutembea juani?

tatizo ni mtaji mdogo au
Huyu nae hajibu comments ingekua rahis kujua ana mtazamo ili tumpe uzoefu zaidi!

Hawezi tembeza matunda juani🤔🤔kama anajua kusoma nyakati, matunda hua yanauzika sana asubuhi hasa hasa kuanzia saa mbili hadi tano Kwa maana wengine watakula matunda baada ya chai wengine baada ya kuona joto kali hawezi kunywa chai atakula matunda hapa utakutana na wale wenye frame kina Lamomy , wengine atakula matunda baada ya kuona mpaka msos ufike njaaa itakua kali sana na pia wengine wanafanya Kazi ngumu hashibi chai tu anakazia na matunda.

Mda wa mchana watu wanakula vyakula walivyovigiza huwezi Kuta mtu ana sahani ya pilau na Yale matunda😁ukikuta na matunda basi ni aina Moja Labda ndizi mbili.

Mda wa jioni napo matunda hayauziki, sababu za msingi hasa Sijui lakini naonaga watu wanakua wanakunywa kahawa, alqasus, kunakua na uji unatembezwa, visheti na mandazi.

Ko asubuhi anatembeza matunda mchana anapumzika sehemu jioni anapita kukusanya Hela zake
 
Huyu nae hajibu comments ingekua rahis kujua ana mtazamo ili tumpe uzoefu zaidi!

Hawezi tembeza matunda juani🤔🤔kama anajua kusoma nyakati, matunda hua yanauzika sana asubuhi hasa hasa kuanzia saa mbili hadi tano Kwa maana wengine watakula matunda baada ya chai wengine baada ya kuona joto kali hawezi kunywa chai atakula matunda hapa utakutana na wale wenye frame kina Lamomy , wengine atakula matunda baada ya kuona mpaka msos ufike njaaa itakua kali sana na pia wengine wanafanya Kazi ngumu hashibi chai tu anakazia na matunda.

Mda wa mchana watu wanakula vyakula walivyovigiza huwezi Kuta mtu ana sahani ya pilau na Yale matunda😁ukikuta na matunda basi ni aina Moja Labda ndizi mbili.

Mda wa jioni napo matunda hayauziki, sababu za msingi hasa Sijui lakini naonaga watu wanakua wanakunywa kahawa, alqasus, kunakua na uji unatembezwa, visheti na mandazi.

Ko asubuhi anatembeza matunda mchana anapumzika sehemu jioni anapita kukusanya Hela zake
Yani wewe 🤣🤣🤣
Matunda nakula sana nna diet, yeye alete tumuungishe! Usisahau kumuelekeza dukani kwangu!!
 
Usajili mpya ukiingia awe muuza chai, chakula au matunda wote tunachukulia kwake 😁 tunaagiza msos wa bei ya juu katika menu yake(Timing) baada ya wiki mbona tayar utakuta Kuna muhuni ashapiga 😁baada ya hapo ataanza kubadili vijiwe, mkiskia lamomy kahamishwa kijiwe maanake kagigimanishwa🙌
Vijana wa kkoo ni vijana wa hovyo 😂😂😂
Nilileta kijana kutoka mkoa si mama ntilie mmoja akamuona wa kuja, huyu ana kamba mguuni. Mama ntilie kampa mambo ya kizaramo kijana wangu!!!
Nakuja kushtuka kumbe kuanzia kodi ya nyumba mpk furniture imenunua pesa ya ofisi yangu!!! Na bado alikuwa anapewa pesa za matumizi.

Hao mama ntilie wa kkoo washenzi sana!! Wengine wapo kwa kazi mbili.
 
Vijana wa kkoo ni vijana wa hovyo 😂😂😂
Nilileta kijana kutoka mkoa si mama ntilie mmoja akamuona wa kuja, huyu ana kamba mguuni. Mama ntilie kampa mambo ya kizaramo kijana wangu!!!
Nakuja kushtuka kumbe kuanzia kodi ya nyumba mpk furniture imenunua pesa ya ofisi yangu!!! Na bado alikuwa anapewa pesa za matumizi.

Hao mama ntilie wa kkoo washenzi sana!! Wengine wapo kwa kazi mbili.
Maisha ya kariakoo ni timing! Kabla hajazoea Watu wanawahi shangaaa baada ya mda unashtuka mambo hayakua kama awali! Mi nashukuru kwa kipindi nlichokua active sana kariakoo nlikuwa nasimaniwa sana na boss wangu! Alikua ananiamini sana ko alinitrack kwa kila kitu akiona na ukaribu wowote na mdada/mama yeyote ananikanya na kumbuka alishanielekeza chocho zote.
 
Yani wewe 🤣🤣🤣
Matunda nakula sana nna diet, yeye alete tumuungishe! Usisahau kumuelekeza dukani kwangu!!
Hakya nan nikimjua 😁siku ya kwanza tu nanunulia kijiwe chote, mm kijiweni ni yule mtu nikiletewa supu kabla Sijamaliza vijana washaichukua, ko akifika tu nachukua Moja afu kuzuga nawaambia tu flan chukua Moja wengine wataanza tu kusema waiti na mm nichukue.......mi nasema tu eee chukua wakifika kama 20 nasema bas jioni akifata Hela🤒🤒🤒🤒.......usikose sehemu ya pili ya Hadithi hii
 
Maisha ya kariakoo ni timing! Kabla hajazoea Watu wanawahi shangaaa baada ya mda unashtuka mambo hayakua kama awali! Mi nashukuru kwa kipindi nlichokua active sana kariakoo nlikuwa nasimaniwa sana na boss wangu! Alikua ananiamini sana ko alinitrack kwa kila kitu akiona na ukaribu wowote na mdada/mama yeyote ananikanya na kumbuka alishanielekeza chocho zote.
Tatizo mimi sishindi sana!! Na siku nikifululiza kushinda wale wadada hawakanyagi wanaogopa. Kuna jirani yangu ndio alinitonya kinachoendelea.
Hawa niliokuwa nao ss hivi wako vizuri ila nna wasiwasi wanamegana na dada wa nyumbani 🤣🤣🤣🤣

Sina muda nitajikuta familia imeongezeka naitwa bibi kabla hata mwenyewe sijazaa
 
Hakya nan nikimjua 😁siku ya kwanza tu nanunulia kijiwe chote, mm kijiweni ni yule mtu nikiletewa supu kabla Sijamaliza vijana washaichukua, ko akifika tu nachukua Moja afu kuzuga nawaambia tu flan chukua Moja wengine wataanza tu kusema waiti na mm nichukue.......mi nasema tu eee chukua wakifika kama 20 nasema bas jioni akifata Hela🤒🤒🤒🤒.......usikose sehemu ya pili ya Hadithi hii
Khaa!! Na akikataa kumtunuku boss wa kijiwe waiti matunda yatadoda!!
Wanawake tuna changamoto kila sehemu utani wa ngono!!
 
Trust me, Kuna wahuni humu
watakukaribisha kwao ili wakayanunue yote[emoji4]
Acha nongwa mkuu,,
Mim mwenyew niko tayari kumsapoti mwenzetu! Sasa kama ndugu yètu atapata mtu wa kuchukua mali yote si ni jambo jema? Anamaliza biashara mapema anaenda kufanya Mambo mengine
 
Khaa!! Na akikataa kumtunuku boss wa kijiwe waiti matunda yatadoda!!
Wanawake tuna changamoto kila sehemu utani wa ngono!!
Mimi sio boss😁sema kwa pale.... au bas

Biashara yake haitadoda ila tamsagia kunguni kubabaqe ntasingizia hata kaliwa na msambaa mwenye ngoma unanikazia mimi 🤒🤒f.u.c.k.e.n.f.o.o.l.i.s..h sema hawana ubavu wa kukaba hadi mwisho yaan usajili mpya unalipwa 7000 siku unikazie 🤣🤣akifata Hela Nampa wallet achukue hela yake unajua nn kinafata
 
Tatizo mimi sishindi sana!! Na siku nikifululiza kushinda wale wadada hawakanyagi wanaogopa. Kuna jirani yangu ndio alinitonya kinachoendelea.
Hawa niliokuwa nao ss hivi wako vizuri ila nna wasiwasi wanamegana na dada wa nyumbani 🤣🤣🤣🤣

Sina muda nitajikuta familia imeongezeka naitwa bibi kabla hata mwenyewe sijazaa
Sijajua aina ya biashara unayofanya lkn aisee chipkizi usipokua makini watakuharibia aisee!!!

Acha watu wadinyane bn 🍑🍆kwa dar ni tamu sana
 
Mimi sio boss😁sema kwa pale.... au bas

Biashara yake haitadoda ila tamsagia kunguni kubabaqe ntasingizia hata kaliwa na msambaa mwenye ngoma unanikazia mimi 🤒🤒f.u.c.k.e.n.f.o.o.l.i.s..h sema hawana ubavu wa kukaba hadi mwisho yaan usajili mpya unalipwa 7000 siku unikazie 🤣🤣akifata Hela Nampa wallet achukue hela yake unajua nn kinafata
Haki mnajua kuharibu wadada wa watu
Halafu hiyo tabia ya kuwapa wallet zenu wajichukulie pesa, inasababisha wawadharau wapenzi wao ambao apeche alolo 😂😂😂😂

Kkoo vijana mawinga ni waharibifu sana!!
Mnavunja ndoa za watu
 
Back
Top Bottom