Nimekaa nikafikiria, nikaona biashara ya matunda itanifaa zaidi

Humu kuna mtu tulikua tunataniana sasa akanifata pm bhana akanitumia pic yake weeeh!! Ni baba mzazi kabisaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tena anatungisha mimba yangu huku anavuta sigara!!
Sitakaaa nijaribu hata siku moja, sema Kuna Moja kwenye selfika ya mshanaπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œatanifanya nioneshe ubabe wangu uliopo absa
 
Watoto kua makini aiseee kama huamini mazingira bora hata uwapeleke kijijini, Mimi ktk suala la watoto npo sensitive sana ikitokea ntahitani mtoto nazaaa na mwalimu πŸ€’πŸ€’πŸ€’na hata serious dating nadate na walimu tu
wana nini cha ziada walimu...?
 
Pole dada
Uzi wako wameuteka waendesha mikokoteni wa kariakoo wameanza kutongozana
 
Hongera mkuu kwa uamzi huu komaa ila hakikisha haupigwi shoti na ile jinsia nyingine pindi utakapowahudumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…