Librarian 105
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 261
- 356
Eti msiba wa wengi ni harusi! Jiulize mbona matanga hayalaliwi ukumbini kwa taarabu na slow jam?
Eti siogopi kudaiwa, serikali yenyewe inadaiwa! Jiulize deni la nchi analipa nani kama sio wewe? Halafu tafakari lini serikali ilibeba deni lako? Akili itakaa sawa pindi utakapolala nje au kurudi usiku wa manane na kusepa alfajiri na kukwepa wadeni wako vichochoroni.
Eti nisome sana kwani nataka kuwa Rais/ mbunge?! Kazi zenyewe hakuna siku hizi?! Oyaa!! Elimu inakupa maarifa, maisha ni matokeo ya jitihada zako na bahati katika utafutaji!
Niolewe, nioe? Maisha ya bata nimwachie nani? Tambua umri wako ni sawa na plate number ya gari. Gari ikishachoka na kupitwa na wakati inasukumwa tu kwa njia mbili a) kwa bei ya nyanya na b) itapigwa bei kama chuma chakavu!
Mimi nimekaa palee, wewe umekaa wapi kucheki majenerali wengine wa kujipa vyeo vya ujinga?
Eti siogopi kudaiwa, serikali yenyewe inadaiwa! Jiulize deni la nchi analipa nani kama sio wewe? Halafu tafakari lini serikali ilibeba deni lako? Akili itakaa sawa pindi utakapolala nje au kurudi usiku wa manane na kusepa alfajiri na kukwepa wadeni wako vichochoroni.
Eti nisome sana kwani nataka kuwa Rais/ mbunge?! Kazi zenyewe hakuna siku hizi?! Oyaa!! Elimu inakupa maarifa, maisha ni matokeo ya jitihada zako na bahati katika utafutaji!
Niolewe, nioe? Maisha ya bata nimwachie nani? Tambua umri wako ni sawa na plate number ya gari. Gari ikishachoka na kupitwa na wakati inasukumwa tu kwa njia mbili a) kwa bei ya nyanya na b) itapigwa bei kama chuma chakavu!
Mimi nimekaa palee, wewe umekaa wapi kucheki majenerali wengine wa kujipa vyeo vya ujinga?