Jamaa anatuchora tuWatu wenye simu mbili hawaishigi vituko wakichoka na kuboreka huwa wanajitumia message wenyewe. .
Hapo unajibembeleza mwenyewe kisha unajifumania na kwenda kupost JF. .
sjaelewa kwa kweli apo namuitaji lufufu mkandalaNimekamata txt hii kwa mke wangu, hivi wanawake mna nini?
Hapa mi naona mauza uza tuNimekamata txt hii kwa mke wangu, hivi wanawake mna nini?
Nimekamata txt hii kwa mke wangu, hivi wanawake mna nini?
Kwani nimeambiwa nisicomment?Kwani umeambiwa comment?
[emoji56]Mimi mbona hii conversation kama vile umeichukua kutoka Kwenye simu ya mwanaume?
Ukishaona manyoya ujue ameliwaNimekamata txt hii kwa mke wangu, hivi wanawake mna nini?