Nimekamata text hii kwa mke wangu. Hivi wanawake mna nini?

Nimekamata text hii kwa mke wangu. Hivi wanawake mna nini?

Watu wenye simu mbili hawaishigi vituko wakichoka na kuboreka huwa wanajitumia message wenyewe. .

Hapo unajibembeleza mwenyewe kisha unajifumania na kwenda kupost JF. .
 
Kwa hiyo screenshot txt zipo kwenye upande wa simu ya mwanaume ilitakiwa useme umefumania meseji kwenye simu ya mume wako au umeona aibu tusije kujua we ni shoga ?
 
Achana na wanawake oa Tia mimba pale watoto ndo ndguzako yeye ukimtia mimba Tena mfulululizo tatu au tano zote kila baada yamwanao kuzaliwa anyonyeshwe miezi au 9 Tia mimba akizaa Tena fatisha Tia mimba .....harafu kua mjinga kwake dili na wanao pia simu yake na mengine usifatilie ....
Ushauri mzurii huu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwenye uzi kala kona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] inauma sana
 
Back
Top Bottom