Nimekamata text hii kwa mke wangu. Hivi wanawake mna nini?

Nimekamata text hii kwa mke wangu. Hivi wanawake mna nini?

wengine tunatamkiwa kupendwa asubuhi mchana jioni yani 24/7.
Screenshot_20220628-105150.png
 
Wewe ndo huyo mwanaume aloambiwa anapendwa sio 😆😆😆

Jamaa anapima maamuzi ya mwenye mume kama atamkamata
 
Unatuonaje mzee...hio convo n kama umeichukua kwa mwanaume. Hii ni chai
 
Back
Top Bottom