Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #21
Wala nitawaignore my dear ila ukweli unauma kwao mtu anaona wivi ukiwa na mwanaume mwenzako seriouslySie tumenyamaza we unakuja na hoja tata,2023 chunga watakukamata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala nitawaignore my dear ila ukweli unauma kwao mtu anaona wivi ukiwa na mwanaume mwenzako seriouslySie tumenyamaza we unakuja na hoja tata,2023 chunga watakukamata
ila wao watoe ushahidi halafu huwezi ona wivu Kwa mwanamke kupendwa na mwanaume kha nakuandika huyu Malaya wakati wewe ni mwanaume unaonyesha umekosa , na jingine unamtaka huyo dada na huwezi sema najingine unahamu uwe wewe ushughulike hata mimi siitaji shida wajee tu navichambo vyao nakaa kimyapole kwa kutukanwa, its not fair, lakini je wao kukutukana ndio ushahidi wa ushoga wao ?!
Kama unasema wanakuita malaya bila ushahidi, kulikoni pia unawaita mashoga "bila ushahidi" ??! je tofauti yako na wao unaowalalamikia kwa paragraph zaidi ya 10 ni ipi ?!
Sawa bahna umeshinda mie chizi ila ngoja sikubali kuitwa chiziiiJamani tunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika, mwandishi ni mmoja wa wagonjwa katika hospital yetu ya crazy for life
Ndugu Unique Flower, na mwenzie mpwayungu village, walifanikiwa kutoroka jana na kuiba simu za ofisi
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo wavumilieniii
Wewe unao acheni depression na kuweni free mtachizika sex ni nzuri Kwa afyaHivi wewe huna wazazi
Bidada nimesoma uzi wako wote ila sijaona connection ya uzi wako na kichwa Cha Habari sijaona sehemu ukituonesha ukitoaa vivid evidence kuwa jf kuna mashoga wengiKuna watu wanadai ni wanaume ila nimefanya utafiti ni mashoga
Nipo serious Kwa sababu huwezi mtu kufurahia status Yako kimaisha na mtu aje aandike mbovu Kwa hasira sijui Malaya wewe.
Unaliwa nauanze kutoa povu ukiambiwa haya toa ushahidi hakuna .
Ila jamaa amejaa hasira Kisa upo na mwanaume mwenzio Sasa mtu humjui Wala hijawahi muona hujui anaishi wapi ila anakukera .
Hali kwenu maana wote wananitukana watu humu bado wanamtegemea makwao.
Bado ni wale wanaoona maisha yapo hawajui Kodi ya shemeji ikisha nani analipa na mengine to.
Wao wanakaa tu . Kutukana watu course asubuhi wameshiba,...
Mchana wameshiba na ijioni.
So wakiingia humu wanadis kila mtu Kwa akili ya maharage.
Au unakuta nimtu mwenye kila kitu ila yupo mpweke anastress mbaya sana.
Akili yake umejaa shida na mawazo halafu ni mtu ambaye hakuna anayemtaka.
So hata aje mwanaume mwenzio anamaliza haja zake maana Hana option.
So wengi humu mume jikatia tamaa.
Umeng'ara hakuna demu anasema hi upo tu nakila kitu kizuri hapo.
Everything you have but no company unaishia kunywa .nakuperuzi mitandaoni unakuta UNIQUE FLOWER anapendwa kila siku nawatu .
Na babe zake wapya unaanza maraya unamake fake story ilimradi niongee mie nashomboo nakupa kweli hadi uzime.
Sasa kunatype hii Hana kila kitu na bado anaperuzi humu.
Hii ni mbaya sana .
Anahasira yakukosa kila kitu akija humu na kabando kake unique Flower anajisifia na kusifiwa uwiii.
Anashusha kichamboo.
Acheni ujinga humu nikupeana kampani kama hujui kufurahia na kufurahiwa humu basi.
Na mashoga ndio wengi humu wanawivu na watu wanaopendeza na me humu.
Kama Mungu alipanga huyu unique fulawa apate mtu humu atapata ila kama hajatakiwa atapata alipotakiwa apate na hiyo haikuhusu. Wivu wanini na unamshipii?
Au nawewe unataka uvuliwe uliwe upigwe upepo na wewe ni me.
Jingine unakuta wivu za akinadada so anajibadili Kwa account yake annamtukana mwingine Kisa ujinga tu humu.
Kama ulichezewa move on this is new year
Haya mpe na dingiyoWewe unao acheni depression na kuweni free mtachizika sex ni nzuri Kwa afya
Dah haya bhanaDada nina beat yangu apa nataka uiwekee maneno ya taarabu
Acha stressHaya mpe na dingiyo
Usiendelee kufanya uharibifu sema uko wapi ili tukurudishe hospitalSawa bahna umeshinda mie chizi ila ngoja sikubali kuitwa chiziii
Mlitoka kuniita Malaya na Sasa mnaniita kichaa mngejua ninyie wewe si ndio umetoroka tunakutafuta njoo Kwa hiari Yako hospitalini au tuje by forceUsiendelee kufanya uharibifu sema uko wapi ili tukurudishe hospital
Kumbuka kumeza dawa zako Ni kutwa ×30Mlitoka kuniita Malaya na Sasa mnaniita kichaa mngejua ninyie wewe si ndio umetoroka tunakutafuta njoo Kwa hiari Yako hospitalini au tuje by force
Na nyie mjieshimu jamii forums sio sehemu ya kudhihaki mtu , kumshutumia uongo , kumwona hafai na kumpa maneno machafu nyie wanaume ambao hamjieshimu jiheshimuni tafadhaliDADA TUNAKUOMBA UWE NA HESHIMA.
JAMII FORUMS NI HOME OF GREAT THINKERS.
SI SEHEMU YA ..
UMBEA.
MAJUNGU.
UNAFIKI NK.
JIHESHIMU TAFADHALI.
Hadi unajua kumeza dawa hebu njoo hospitali haraka iwezekanavyooKumbuka kumeza dawa zako Ni kutwa ×30