Nimekasirika kuitwa malaya

ila wao watoe ushahidi halafu huwezi ona wivu Kwa mwanamke kupendwa na mwanaume kha nakuandika huyu Malaya wakati wewe ni mwanaume unaonyesha umekosa , na jingine unamtaka huyo dada na huwezi sema najingine unahamu uwe wewe ushughulike hata mimi siitaji shida wajee tu navichambo vyao nakaa kimya
 
Sawa bahna umeshinda mie chizi ila ngoja sikubali kuitwa chiziii
 
Bidada nimesoma uzi wako wote ila sijaona connection ya uzi wako na kichwa Cha Habari sijaona sehemu ukituonesha ukitoaa vivid evidence kuwa jf kuna mashoga wengi
 
Upumbavu ufanye wewe hadharani halafu utuzibe midomo?

unatumia nguvu kubwa kujikweza ilihali huna hizo standards, we ni dampo la hamu za wakulungwa.
una hangover za konyagi na k vant!
 
DADA TUNAKUOMBA UWE NA HESHIMA.

JAMII FORUMS NI HOME OF GREAT THINKERS.

SI SEHEMU YA ..
UMBEA.
MAJUNGU.
UNAFIKI NK.

JIHESHIMU TAFADHALI.
Na nyie mjieshimu jamii forums sio sehemu ya kudhihaki mtu , kumshutumia uongo , kumwona hafai na kumpa maneno machafu nyie wanaume ambao hamjieshimu jiheshimuni tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…